1. Chakula: watu 150 x 7000 (kwa kila sahani) = 1,050,000 .00
2. Vinywaji: Bia At least watu 50 watatumia bia x 3 @ x 2300Tshs = 345,000.00
Soda Watu 100 watakunywa soda x 3@ x 600Tshs = 180,000.00
3. Suti ya bwana harusi 150 000Tshs. x 1 = 150,000.00
4. Gauni la bibi harusi kukodi 150,000 Tshs x 1 = 150,000.00
5.Suti ya best man 150,000 x 1 = 150,000.00
6. Gauni la best woman 100,000 x 1 = 100,000.00
7.Kushona suti za watoto wasimamizi 4 x 25,000 = 50,000.00
8. Usafiri A. Gari ya bibi harusi 1 x 50,000 = 50,000.00
B.Gari ya bwana harusi 1x 50,000 = 50,000.00
C. Gari costa 2 kwa ajili ya ndugu x 60,000 = 120,000.00
9. Gharama ya Ukumbi 1 x 500,000 = 500,000.00
10. Gharama za upambaji 1 x 250,000 = 250,000.00
11. Gharama za kurekodi 1 x 200,000 = 200,000.00
12. Gharama za Shampeni 2 x 200,000 = 400,000.00
13. Gharama za guest 60,000 = 60,000.00
14. Mc na Muziki 200,000 = 200,000.00
15. Vipodozi bibi harusi 150,000 = 150,000.00
16. Blass Band 200,000 = 200,000.00
= 4,355,000.00
NDUGU WASHAURI WANGU, NI MIMI NILIYEOMBA USHAURI JUU YA UWEZEKANO WA KUFANYA HARUSI YA TSHS. 2000,000 HAPA DAR ES SALAAM. MLINIONYESHA KUWA HAKUNA KINACHOSHINDIKANA, ILA NI AINA GANI YA HARUSI NILIHITAJI NI SUALA AMBALO MLINIACHIA.
NIMEENDELEA KUPAMBANA WAKUU, MWANAMKE HATAKI KUNIACHIA, NIMEKUBALI KUPAMBANA.
BADO NARUDI KWENU WAKUU,HEBU KAGUENI VIFAA NILIVYOTAJA HAPO JUU, NINI KIMEPUNGUA, JE HARUSI HAPO NIMEKAMILISHA. NIBORESHE NINI, WAZEE KARIBUNI.
NATANGULIZA SHUKRANI
Wagalatia mna tabu sana, kwetu ni gharama ya pete, uturi, na sinia la pilau mke anaingia ndani...
Mnapenda ufahari mpaka mnakufuru..
Ndiyo maana ndoa zenu hazidumu
uwii nasoma kila kipengele. nacheka af naendelea tena kusoma! khaa! hamna hata kimoja cha bei hyo hapo. nkianza kukosoa ntakupa majaribu mwaya.jipige pige kwa harusi ya kawaida kabisa uwe na milioni 9
Champaign jeshini zipo kwa shilingi elfu 4 na mia mbili tu kwa chupa moja. Tafuta mjeshi zama huko ibuka na chupa 10. Kinywaji mlipuko ukumbi mzima.
kwa hali hii bora ndoa ufumaniwe ndoa ya mkeka
Siyo kweli mkuu, hamna hata kimoja ni asilimia 100 umetaja. Kimoja niseme mimi price list ya kumbi pale sabasaba maonesho kuna ukumbi unaitwa Kobe umetajwa kuwa na uwezo wa kuchukua watu 300 kwa mara moja kwa bei niliyotaja, ni vema ungetaja kimoja hadi kingine. Mengine nilishayaelezea wakati tunajadili na wengine unaweza pitia uwe na hayo pia.
1. Chakula: watu 150 x 7000 (kwa kila sahani) = 1,050,000 .00
2. Vinywaji: Bia At least watu 50 watatumia bia x 3 @ x 2300Tshs = 345,000.00
Soda Watu 100 watakunywa soda x 3@ x 600Tshs = 180,000.00
3. Suti ya bwana harusi 150 000Tshs. x 1 = 150,000.00
4. Gauni la bibi harusi kukodi 150,000 Tshs x 1 = 150,000.00
5.Suti ya best man 150,000 x 1 = 150,000.00
6. Gauni la best woman 100,000 x 1 = 100,000.00
7.Kushona suti za watoto wasimamizi 4 x 25,000 = 50,000.00
8. Usafiri A. Gari ya bibi harusi 1 x 50,000 = 50,000.00
B.Gari ya bwana harusi 1x 50,000 = 50,000.00
C. Gari costa 2 kwa ajili ya ndugu x 60,000 = 120,000.00
9. Gharama ya Ukumbi 1 x 500,000 = 500,000.00
10. Gharama za upambaji 1 x 250,000 = 250,000.00
11. Gharama za kurekodi 1 x 200,000 = 200,000.00
12. Gharama za Shampeni 2 x 200,000 = 400,000.00
13. Gharama za guest 60,000 = 60,000.00
14. Mc na Muziki 200,000 = 200,000.00
15. Vipodozi bibi harusi 150,000 = 150,000.00
16. Blass Band 200,000 = 200,000.00
= 4,355,000.00
NDUGU WASHAURI WANGU, NI MIMI NILIYEOMBA USHAURI JUU YA UWEZEKANO WA KUFANYA HARUSI YA TSHS. 2000,000 HAPA DAR ES SALAAM. MLINIONYESHA KUWA HAKUNA KINACHOSHINDIKANA, ILA NI AINA GANI YA HARUSI NILIHITAJI NI SUALA AMBALO MLINIACHIA.
NIMEENDELEA KUPAMBANA WAKUU, MWANAMKE HATAKI KUNIACHIA, NIMEKUBALI KUPAMBANA.
BADO NARUDI KWENU WAKUU,HEBU KAGUENI VIFAA NILIVYOTAJA HAPO JUU, NINI KIMEPUNGUA, JE HARUSI HAPO NIMEKAMILISHA. NIBORESHE NINI, WAZEE KARIBUNI.
NATANGULIZA SHUKRANI
1. Chakula: watu 150 x 7000 (kwa kila sahani) = 1,050,000 .00
2. Vinywaji: Bia At least watu 50 watatumia bia x 3 @ x 2300Tshs = 345,000.00
Soda Watu 100 watakunywa soda x 3@ x 600Tshs = 180,000.00
3. Suti ya bwana harusi 150 000Tshs. x 1 = 150,000.00
4. Gauni la bibi harusi kukodi 150,000 Tshs x 1 = 150,000.00
5.Suti ya best man 150,000 x 1 = 150,000.00
6. Gauni la best woman 100,000 x 1 = 100,000.00
7.Kushona suti za watoto wasimamizi 4 x 25,000 = 50,000.00
8. Usafiri A. Gari ya bibi harusi 1 x 50,000 = 50,000.00
B.Gari ya bwana harusi 1x 50,000 = 50,000.00
C. Gari costa 2 kwa ajili ya ndugu x 60,000 = 120,000.00
9. Gharama ya Ukumbi 1 x 500,000 = 500,000.00
10. Gharama za upambaji 1 x 250,000 = 250,000.00
11. Gharama za kurekodi 1 x 200,000 = 200,000.00
12. Gharama za Shampeni 2 x 200,000 = 400,000.00
13. Gharama za guest 60,000 = 60,000.00
14. Mc na Muziki 200,000 = 200,000.00
15. Vipodozi bibi harusi 150,000 = 150,000.00
16. Blass Band 200,000 = 200,000.00
= 4,355,000.00
NDUGU WASHAURI WANGU, NI MIMI NILIYEOMBA USHAURI JUU YA UWEZEKANO WA KUFANYA HARUSI YA TSHS. 2000,000 HAPA DAR ES SALAAM. MLINIONYESHA KUWA HAKUNA KINACHOSHINDIKANA, ILA NI AINA GANI YA HARUSI NILIHITAJI NI SUALA AMBALO MLINIACHIA.
NIMEENDELEA KUPAMBANA WAKUU, MWANAMKE HATAKI KUNIACHIA, NIMEKUBALI KUPAMBANA.
BADO NARUDI KWENU WAKUU,HEBU KAGUENI VIFAA NILIVYOTAJA HAPO JUU, NINI KIMEPUNGUA, JE HARUSI HAPO NIMEKAMILISHA. NIBORESHE NINI, WAZEE KARIBUNI.
NATANGULIZA SHUKRANI
Kama uwezo ni mdogo fanya harusi ya saizi yako. Na ka mchumba wako hakubaliani na hali halisi basi huyo sio mke atakuja kukupa shida siku za usoni ukimwoa. Fanya kikao na ndugu jamaa na marafiki na watakachokuchangia ni hicho hicho funga ndoa yako hata kama umepata milioni moja! Hata kama huna hela mradi mwenzio anakuelewa na anakupenda ndoa itafungwa na maisha yatasonga mbele.
Uislam unakataza hivo vitu Vyote ulivo Orodhesha hakuna karibu katika uislam ndugu yangu
We hii harusi ya wapi. Sahani ya 7,000 ina chakula gani. Hiyo suti ya 150 000 ya aina gani? Ya kuzikia au? Suti ya kimaskini ya harusi inaanzia 500,000. Gauni la bi harusi la kukodi 300,000. Halafu hayo mapambo ya 250 000 ni ya aina gani? Fresh roses zipo au ni toilet papers. Ukumbi wa size gani? Hiyo bajeti sijui ya mkoa gani. Hapa town huoi jombaa. Hata sherehe ya comunyo hutaitendea haki.[/QUOTE
This too needs a response!, improve communication, in five pages this is inept.
I'm sorry for other members honestly invested in advising. I remain humble to them. I'm in need of criticism so that I shape somehow what I have asked for, but not in this kind of language,idiot. It is possibe to deliver a msg without rude language
I say it again, sorry for those ... honestly ..........
Nenda kwa mkuu wa wilaya funga ya kiserikali. Gharama 0 kwani unaenda na nguo yako safi usafiri wa kawaida mashahidi 2 tu.
mdogo Wang ilibidi abadili dini sababu ya haya maghalama makubwa mno hela tulizomchangia zilimsaidia akaanza kujenga na saizi yupo kwake nawapenda sana waislamu hawana bwembwe kama hizi
ni aibu unafunga harusi ukiwa nyumba ya kupanga hata vyumba viwili huna halafu ghalama kubwa hivi anyway Fanya UK IFA maskini haohao uliokuwa nao kwenye harusi ndio wa kwanza kusema
shida ya nn kaka si upige kitu cha ndoa ya mkeka tuu au kama unaona noma sana tumia style ya BOKO HARAM... maisha yenyewe haya yanabana mbaya.
Ki ukweli, unaahirisha mambo mengi sana ikiwemo mawazo pia. Anyway, naingoja siku nimalize nianze sifuri kabisa, Mungu atanisaidia tu.