Bado, gharama za harusi jamani, tafadhali

Bado, gharama za harusi jamani, tafadhali

Mi nakushauri hizo suti za watoto wasimamizi toa ubaki na mmoja na hapo ukienda kariakoo unapata kwa bei yako hiyo ya 25000.

Asante kwa ushauri, hii ni page yangu, nitarejea mara kwa mara ninapoendelea kutekeleza hili.
 
mnasingizia mungu atakusaidieje wewe unaendelea kutumbua hela

Dah ni ngumu kweli kweli, sio kutumbua ndugu yangu, ndio maana najaribu kubana namna hiyo ingawa inakuwa si rahisi, wacha niwe jamii kwa kiasi kidogo kinachowezekana, ndugu hawajataka kuelewa kabisa vinginevyo.
 
Wakuu naondoka kwa sasa nitarudi baadae asanteni kwa kunishauri, nitawapa taarifa mpaka ya sherehe yenyewe nafahamu kuna watu watapata nafasi ya kuona hili na kufanya lolote linalofanana au kuzidi au kupungua pale nitakapofikia katika shughuli zao. Asante
 
1. Chakula: watu 150 x 7000 (kwa kila sahani) = 1,050,000 .00
2. Vinywaji: Bia At least watu 50 watatumia bia x 3 @ x 2300Tshs = 345,000.00
Soda Watu 100 watakunywa soda x 3@ x 600Tshs = 180,000.00
3. Suti ya bwana harusi 150 000Tshs. x 1 = 150,000.00
4. Gauni la bibi harusi kukodi 150,000 Tshs x 1 = 150,000.00
5.Suti ya best man 150,000 x 1 = 150,000.00
6. Gauni la best woman 100,000 x 1 = 100,000.00
7.Kushona suti za watoto wasimamizi 4 x 25,000 = 50,000.00
8. Usafiri A. Gari ya bibi harusi 1 x 50,000 = 50,000.00
B.Gari ya bwana harusi 1x 50,000 = 50,000.00
C. Gari costa 2 kwa ajili ya ndugu x 60,000 = 120,000.00
9. Gharama ya Ukumbi 1 x 500,000 = 500,000.00
10. Gharama za upambaji 1 x 250,000 = 250,000.00
11. Gharama za kurekodi 1 x 200,000 = 200,000.00
12. Gharama za Shampeni 2 x 200,000 = 400,000.00
13. Gharama za guest 60,000 = 60,000.00
14. Mc na Muziki 200,000 = 200,000.00
15. Vipodozi bibi harusi 150,000 = 150,000.00
16. Blass Band 200,000 = 200,000.00
= 4,355,000.00


NDUGU WASHAURI WANGU, NI MIMI NILIYEOMBA USHAURI JUU YA UWEZEKANO WA KUFANYA HARUSI YA TSHS. 2000,000 HAPA DAR ES SALAAM. MLINIONYESHA KUWA HAKUNA KINACHOSHINDIKANA, ILA NI AINA GANI YA HARUSI NILIHITAJI NI SUALA AMBALO MLINIACHIA.

NIMEENDELEA KUPAMBANA WAKUU, MWANAMKE HATAKI KUNIACHIA, NIMEKUBALI KUPAMBANA.

BADO NARUDI KWENU WAKUU,HEBU KAGUENI VIFAA NILIVYOTAJA HAPO JUU, NINI KIMEPUNGUA, JE HARUSI HAPO NIMEKAMILISHA. NIBORESHE NINI, WAZEE KARIBUNI.
NATANGULIZA SHUKRANI


Fanya Ndoa ya Serikali, Sherehe Fanya ya Wanawake watupu kama Wazanzibar wa Ulaya "WANAUME WANAKULA SANA WATAKUTIA SHOTI"
 
Fanyia sherehe nyumbani kama kuna nafasi, utaokoa pesa nyingi tu.
Ikiwa lazima muende ukumbini, basi watu 50-80 wanatosha. Na ubook tables tu kwenye hoteli, chakula na vinywaji ndio gharama ya kukodi ukumbi. Yaani unabadili utaratibu kabisa wa typical wedding receiption. La tafuta bar inakosa wateja ndio ufanye ukumbi, owner watafurahi maana wataona umewaletea wateja.
Slay Queen gani atakayekubali kuolewa bar? Labda shemeji awe sio hawa waliopita IFM, UDSM, CBE au ARDHI.
 
Last week nimesimamia Ndoa ya dogo! Mpk tunamaliza shughuli na kurudi kwake na mke wake! Budget ni 1.4 m! Vyakula pilau na wali! Wapishi akina mama majirani! Vinywaji Maji! Hakuna ukumbi, tulifunga maturubai home!
 
Last week nimesimamia Ndoa ya dogo! Mpk tunamaliza shughuli na kurudi kwake na mke wake! Budget ni 1.4 m! Vyakula pilau na wali! Wapishi akina mama majirani! Vinywaji Maji! Hakuna ukumbi, tulifunga maturubai home!
Hio ndoa itakuwa ya kiislamu tu. Huwa hazina gharama sana shida ni kwa hawa wagalatia
 
Last week nimesimamia Ndoa ya dogo! Mpk tunamaliza shughuli na kurudi kwake na mke wake! Budget ni 1.4 m! Vyakula pilau na wali! Wapishi akina mama majirani! Vinywaji Maji! Hakuna ukumbi, tulifunga maturubai home!

Na hapo wataishi kwa Amani zote
 
Kama uwezo ni mdogo fanya harusi ya saizi yako. Na ka mchumba wako hakubaliani na hali halisi basi huyo sio mke atakuja kukupa shida siku za usoni ukimwoa. Fanya kikao na ndugu jamaa na marafiki na watakachokuchangia ni hicho hicho funga ndoa yako hata kama umepata milioni moja! Hata kama huna hela mradi mwenzio anakuelewa na anakupenda ndoa itafungwa na maisha yatasonga mbele.
Utakuta anafunga ndoa ya kulazimishwa na manzi .
 
Shampeni nunua zile za elfu 20, gari ya bwana arusi tafuta ndugu au rafiki mwenye gari maana si unalihitaji kwenda kanisani au sehemu ya ndoa tu. matron na best man wajinunulie nguo wenyewe...

Wajinununlie vipi wakati uliwaomba mwenyewe? Yani uwaingize gharama kizembe
 
1. Chakula: watu 150 x 7000 (kwa kila sahani) = 1,050,000 .00
2. Vinywaji: Bia At least watu 50 watatumia bia x 3 @ x 2300Tshs = 345,000.00
Soda Watu 100 watakunywa soda x 3@ x 600Tshs = 180,000.00
3. Suti ya bwana harusi 150 000Tshs. x 1 = 150,000.00
4. Gauni la bibi harusi kukodi 150,000 Tshs x 1 = 150,000.00
5.Suti ya best man 150,000 x 1 = 150,000.00
6. Gauni la best woman 100,000 x 1 = 100,000.00
7.Kushona suti za watoto wasimamizi 4 x 25,000 = 50,000.00
8. Usafiri A. Gari ya bibi harusi 1 x 50,000 = 50,000.00
B.Gari ya bwana harusi 1x 50,000 = 50,000.00
C. Gari costa 2 kwa ajili ya ndugu x 60,000 = 120,000.00
9. Gharama ya Ukumbi 1 x 500,000 = 500,000.00
10. Gharama za upambaji 1 x 250,000 = 250,000.00
11. Gharama za kurekodi 1 x 200,000 = 200,000.00
12. Gharama za Shampeni 2 x 200,000 = 400,000.00
13. Gharama za guest 60,000 = 60,000.00
14. Mc na Muziki 200,000 = 200,000.00
15. Vipodozi bibi harusi 150,000 = 150,000.00
16. Blass Band 200,000 = 200,000.00
= 4,355,000.00


NDUGU WASHAURI WANGU, NI MIMI NILIYEOMBA USHAURI JUU YA UWEZEKANO WA KUFANYA HARUSI YA TSHS. 2000,000 HAPA DAR ES SALAAM. MLINIONYESHA KUWA HAKUNA KINACHOSHINDIKANA, ILA NI AINA GANI YA HARUSI NILIHITAJI NI SUALA AMBALO MLINIACHIA.

NIMEENDELEA KUPAMBANA WAKUU, MWANAMKE HATAKI KUNIACHIA, NIMEKUBALI KUPAMBANA.

BADO NARUDI KWENU WAKUU,HEBU KAGUENI VIFAA NILIVYOTAJA HAPO JUU, NINI KIMEPUNGUA, JE HARUSI HAPO NIMEKAMILISHA. NIBORESHE NINI, WAZEE KARIBUNI.
NATANGULIZA SHUKRANI

Namba 7 umechapia, Ni 100k sio 50k
 
Back
Top Bottom