Hahahaha. . . . hell no. I'm actually a 'sucker' for NAOMBA and ASANTE. Nikiombwa ntafuata maji jikoni hata kama nilikua sijisikii kuinuka, ila nikiagizwa NAWEZA nikarudi mikono mitupu hata kama nilikuwepo jikoni tayari.So being marshalled around is not your thing,this is natural and understandable. Mimi nikajua ndo wale hata useme:
-'my lady/love/baby can you please bring some water for me on your way from the kitchen?'
Jibu linakuwa:
-'Make use of them long hind limbs of yours'.
Aiseee. . .
Pole yao wanaopita hapo kwako.
Hahahaha. . . . hell no. I'm actually a 'sucker' for NAOMBA and ASANTE. Nikiombwa ntafuata maji jikoni hata kama nilikua sijisikii kuinuka, ila nikiagizwa NAWEZA nikarudi mikono mitupu hata kama nilikuwepo jikoni tayari.
Hiyo inahusu sana kunyimana raha aisee. . . ukikohoa "TUACHANE", ukikoroma "TUACHANE". . .LOLZ
nachukia mwanamke akin_cheat,...ingawa mimi ndio zangu............
Hahahaha kuna mtu alianzisha thread jana ya kulalamika kwamba haambiwi "I love you". Mi nadhani ni vizuri kumwambia mtu na kumwacha nae akwambie atakapojisikia badala ya kulazimisha "I love you too" matokeo yake unaambiwa by default.Nachukia mwanamke kuning'ang'aniza nimjibu 'i love u too' mara tu asemapo 'i love u' eti ndo uthibitisho kuwa nampenda wakt anaona matendo yangu yote yanabainisha mapenzi yangu kwake.
Hahaha. . .sijapata bado ndio najikokota.
Hhhmm nimeona kivishwa urembo kama kimelainika hivi. . . sijui ndivyo inavyotakiwa. . . ?
Yaani inaudhi mpaka basi my dear tena anaweza kuongeza na maneno mengine ya kuudhi mno
Dah. . . mbona ntaringa.Haswa..lengo kiwe kama cha yule anaeimba kanipa mamaa ....alianza hivyohivyo usijali utamfikia tu na mambo yako yatakua mazuri sana
Sio fresh kabisa.
Ila mtu wa aina hiyo unatakiwa siku moja umkomeshe na "haya tuachane" na ujifanye unamaanisha kama hajanywea na kuanza kulalamika bila mpangilio.
Miss bana. . . Ma'am sounds so old.
Hapo vitakuja vilio visivyo na kikomo,ila dawa yake usijifanye kama unaamaanisha inatakiwa umaanishe kwa muda fulani ili ajifunze somo lakini asipojifunza na akiendelea na mchezo wake unapaswa kumaanisha milele.