Bad habits



Babu laaaaaaaaaaaaaah una mambo
 

...dahhh....



...kwenye mahusiano hata ukipenda na kuchukia, kila mwenza anakuja
na packages zake bana...ni jinsi ya kuzi accomodate zako na za mwenzako maisha
yaendelee...

...msichukulie mahusiano kama chuo cha mafunzo nyie, sheria na kanuni nyiiiingi....why?
 

Kwani Mbu kukubali kitu lazima ukipende? Kinachowezekana kitavumiliwa/kubalika ila hakitopendwa.
 

sure dear its okay...
 
Sasa atanikumbatiaje na watu wakiwa nje? We Lizzy hebu acha maswali mengi

Hahahahaha. . . Si mnazima taa ya barazani kama mnayo? Alafu usininyime kuuliza mwasali wakati soda yangu unataka, najifunza ujue!!
 
Hahahahaha. . . Si mnazima taa ya barazani kama mnayo? Alafu usininyime kuuliza mwasali wakati soda yangu unataka, najifunza ujue!!

Ha ha ha Lizzy bana baraza yenyewe ya kushare tabu tupu
 
Hehehehe dearest hupendi kujua kuku wako kala nini na nini? Mi kuna kaisi ambacho hua napenda kujua ili niwe na idea ya mtu ninaedeal nae.

Lol, si vibaya nikijua sema sipendi kutumia effort kubwa sana kujua dearest....!
 
jamani Michelle nin tena?
nalog foo (source:washawasha)
Lol, niliaga kwenda kulisha watoto nilioachiwa na unayemuulizia sana....hamna lingine tajiri la kihaya....lol

yaani Michelle jitihada zangu zooooote za usuluhishi ndo naambulia masimango? kha!!!!!!!!! ama kweli mla ndizi husahau mwokota maganda ndo hukumbuka,najiweka pembeni!
ps: mkionana msalimie lakini!

He he he he,nikusimange wewe tena? najipenda kweli? hata ukijiweka pembeni utaitwa tu....lol....nitamsalimu!:A S-coffee:
 
Mwanadam anaendelea kujitafuta,ni ngumu sana kupata furaha nje yako
 

ukishakuwa mjamzito rukhsa kuhama chumba kwa raha zako
 
Unabanwa na joto lote hili halafu anajifanya kawasha feni unaamka na mafua asubuhi taabu tupu tu yaani

kitu muhimu hapa ni kushirikiana kuboresha hali yenu ya maisha ili muweze kujenga mazingira ambayo ni conducive kwa ustawi wa uhusiano wenu... kulalamika tu vumbi, joto, kubanana etc haisaidii sana at the end of the day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…