Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,127
- 93,264
Shukran sana Brother!! .Nimekusoma mkuu ondoa shaka tuko pamoja sana nashukuru kwa mchango wako brother
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana Brother!! .Nimekusoma mkuu ondoa shaka tuko pamoja sana nashukuru kwa mchango wako brother
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo wa UD ss hv yupo field mwanza mi naishi zangu Moro kiukweli ni subira yangu tu imeepusha mengi but naamini kiuanaume tulio wengi tusingekubaliana na hii tabia ya mdogo wangu.But yote heri nashukuru sana kwa mawazo yako mkuu nimeshamwambia akirudia tena tabia hii nitapanda basi kwa ajili yake tu na simtaniiHuyo dogo wa UDSM yuko Dar? Wewe upo Dar?
Mfuate mtandike mikanda, chapa makofi kisha ondoka.
Muda wote wa tukio usiongee kitu. Baada ya siku nne mtumie sms.
"Mtoto atasoma wapi?"
Family friend mdogo alikua ana dharau hizo hizo.Dogo wa UD ss hv yupo field mwanza mi naishi zangu Moro kiukweli ni subira yangu tu imeepusha mengi but naamini kiuanaume tulio wengi tusingekubaliana na hii tabia ya mdogo wangu.But yote heri nashukuru sana kwa mawazo yako mkuu nimeshamwambia akirudia tena tabia hii nitapanda basi kwa ajili yake tu na simtanii
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga Makofi mkuu hawa madogo usipo wanyoosha ni shida Hata Kama ana ndevu Piga onyo usimpige mbele ya wazazOf course wanasema heshima pesa shikamoo kelele tu but intention yangu nadhani ninastahili kufanya kitu kwa huyu dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndo ukubwa huoYap a blood sibling yaani baba mmoja mama mmoja halafu bahati mbaya yy ndie tunafanana sana na mm kuliko wengine wote but ndo amekuwa mshenzi kwangu balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
nirudie kusoma nini wakati naona roho mbaya inakusumbua.Kwani wakati unasoma post hii mkuu kuna watu walikuwa wanakukimbiza au imekuwaje?kama hujaielewa si urudie tena kusoma?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha kweli hiyo safi heshima lazima irudi mkuu,hata mm siku hiyo ikifika napiga stop wazee kuingilia kati tena kwa ukali wa kufa mtu mpaka atubu kwa sauti kubwa kuwahatorudia upumbavu huo ndo nimuache ila baada ya kumlainisha vya kutosha.Family friend mdogo alikua ana dharau hizo hizo.
Kaka mtu uhamiaji mdogo mtu kaaminiwa na wakorea kaachiwa ofisi. Akawa ana jeuri za hapa na pale. Na wote walikua wanaishi nyumbani bado.
Siku hiyo kumekucha mvua inanyesha. Kaka mtu akavaa traki akamgongea mdogo, mdogo akafungua kilifuata kipigo na kuburuzwa kwenye maji ya mvua.
Alinyooka.
Mkuu yaani bimkubwa wangu hapendi dharau kabisa yy anakwambia mdogo anatakiwa kubaki kuwa mdogo na mkubwa awe mkubwa tu hadi alishafikia kuwapambanisha huyu dogo na kaka yake yaani anayenifuata wapigane ili ijulikane nani mkubwa,aisee palinoga huyu dogo alipigwa akaanza kulia na kuomba msamaha na pia baada ya mtanange huo bimkubwa akamuongezea na fimbo juu but kwangu mm ananiona maji poa tu.Piga Makofi mkuu hawa madogo usipo wanyoosha ni shida Hata Kama ana ndevu Piga onyo usimpige mbele ya wazaz
Sent using Jamii Forums mobile app
Na aangalie asije akageuziwa kibao yeye make madogo wa siku hizi mixer na gym huko vyuoni wanatwanga makonde dizain ya Mike TysonHana nidhamu huyu mtoto... siku moja muite mjifungie chumba wawili umtwange hadi kieleweke (chukua tahadhari usimuumize)
Asante mkuu nashukuru kwa mawazo yako hakika nitayafanyia kaziNachoona hyo dogo anaona kasoma sana ko dharau juu juu mwambie asikuzoee na akujibu kama kaka yake maana hata anavosoma hvo kesho kutwa anarud kukuta mtaan ukitaka mnyooshe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh aisee navumilia sana but the more navyovumilia the more anavyoongeza.
Basi pita tu mkuu haina haja ya kulumbana km hujataka kuielewa mada.Asante pia kwa kusoma Uzi japo hujataka kuuelewa.nirudie kusoma nini wakati naona roho mbaya inakusumbua.
Unajua Dada yangu ninayemfuata kanizidi miaka 3 japo hana chochote na mie nimekuwa nikimbeba hapa na pale but namuheshimu na sijawahi kutofautiana nae kauli hata kwa mbali licha ya msaada mkubwa niliompa na hela yangu nyingi aliyokwishakupoteza ktk kujaribu kumuinua na hawa madogo wote wanayajua na wanayaona.But sijui kwann hawajifunzi kabisaMdogo wako anapataje kiburi mbele yako? Dada yangu nilikua namuogopa kwasababu alikua ananipiga sana makonzi. 'mimi ndo dada yako,ni mkubwa kwako. Uniheshimu'