Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Mkalie tu kimya, nadhani ujeuri anaupata zaidi kwa sababu yupo chuo, bado anashika shika pesa. Akimaliza chuo akaanza kulipa bill atajifunza tu ndugu,
 
Mkuu huyu mtoto anayetakiwa kusomeshwa sio kuwa ndo kachagua hiyo kozi bali huyu msomi wetu wa UD ndo analeta falsafa hizo kuwa akasome hiyo kozi na mm kwa mtazamo wangu wa mbali sioni future yake kwa huyu mtoto hasa kulingana na hiyo level na pia soko la ajira kwa nyakati hizi ndo maana nimelikataa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akasomee clinical officer
 
Huu ni mfano tu wa majibu yake na mengine mengi ya style hiiView attachment 842588

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sana. Kwenye haya maisha tuishiyo, busara inatuelekeza kumuheshimu mwingine katka namna zote. Achilia mbali heshima ya mdogo kwa mkubwa and vice versa. Heshima ya ndani ya familia misingi na mipaka yake inajulikana. Inapotokea mmoja anakwenda. Kinyume na misingi hiyo, moja ya matokeo ni kama hali unayopitia bachelor sugu. Pole sana. Napata hisia kwamba hali hiyo umeilea mwenyewe hatimaye mdogo wake imekuwa ni jadi yake kubishana na ww kwa njia zisizongatia misingi ya nidhamu, utii na adabu. Hata kama alikuwa na mawazo mbadala kwny jambo mnalobishania, bado angaliweza kutumia maneno yenye Hekma, busara na utii ktk kuwasilisha mawazo yake.
Binafsi nashindwa nikushauri ufanye nini kwa kuwa wewe ndiye mwenye nafasi zaidi ya kuchukua maamuzi na hatua ili kuirejesha nidhamu ya mdogo wako kwny misingi yake. Pole sna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana hujawahi kumchapaga huyu dogo mkuu,

Vipi yeye hayupo kweli humu,ili aone jinsi gani dharau zake zinamkera his big bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijawahi kumuonjesha hata kidogo ladha ya kichapo changu ndo maana ananichezea sharubu sana mkuu.
Sijui kama yumo au hayumo but really nimeshampa warning ya mwisho and I've swon to my God kuwa akirudia yaani I'll catch a bus na kuja dar nimkanye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na makuku kuku zinahitaji commitment sana na uvumilivu, tafuta mradi mwingine kama duka la mangi unamjazia full na vinywaji na mobile money halafu bachelor sugu wewe ndo handsome unahangaika kutafuta mke humu?hivi wadada wa jf ni vipofu hawaoni na hawasomi maandishi yako?
Dah thanks kwa ushauri nitaufanyia kazi amu ,hiyo picha ya wale wa saloon niliipenda nikaipiga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha hapana mkuu namshukuru Mungu kwa hiki kielimu kidogo nilichonacho na ndicho kimeniwezesha kuwafikisha hawa madogo hapa walipofika.

Haina maana kuwa huyu dogo ndio mwenye decision nop mi ndo wa mwisho katika maamuzi na nimeshaamua kuwa DOGO atajiajiri no one can add a word.
Ushauri niliouomba ni kuhusu nimfanye nn huyu dogo ili ajue mm ni kaka yake,?Ninafikiria kuwa natakiwa Kumtandika japo one day ili adabu irudi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpige makofi
 
Inasikitisha sana. Kwenye haya maisha tuishiyo, busara inatuelekeza kumuheshimu mwingine katka namna zote. Achilia mbali heshima ya mdogo kwa mkubwa and vice versa. Heshima ya ndani ya familia misingi na mipaka yake inajulikana. Inapotokea mmoja anakwenda. Kinyume na misingi hiyo, moja ya matokeo ni kama hali unayopitia bachelor sugu. Pole sana. Napata hisia kwamba hali hiyo umeilea mwenyewe hatimaye mdogo wake imekuwa ni jadi yake kubishana na ww kwa njia zisizongatia misingi ya nidhamu, utii na adabu. Hata kama alikuwa na mawazo mbadala kwny jambo mnalobishania, bado angaliweza kutumia maneno yenye Hekma, busara na utii ktk kuwasilisha mawazo yake.
Binafsi nashindwa nikushauri ufanye nini kwa kuwa wewe ndiye mwenye nafasi zaidi ya kuchukua maamuzi na hatua ili kuirejesha nidhamu ya mdogo wako kwny misingi yake. Pole sna

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nashukuru sana ndugu yangu ni kweli kwa namna moja yawezekana hii tabia nami nimechangia kwa kuwa mpole kupitiliza ila nadhani napaswa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo.

Huwa napatwa na ganzi na mawazo nikikumbuka during those days nilipomleta mjini kwa mara ya kwanza.Dah we acha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom