Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Jamaangu umenichekesha hivi aliyekwambja kwamba ukiwa mkubwa kwenye familia we ndo final say ni nan?
Af mbona dogo kakujjbu vizuri kwamba anakuheshimu kama kaka yake lakini kukubaliana na mawazo yako kunategemeana na aina yenyewe ya mawazo(either +ve au -ve).
Afu kumsomesha mtu au kumlea mtu haikufanyi ndo akuogope na asitoe mawazo yake kwako.
Jifunze kukubali kukosolewa maana binadam wote hatuwezi kuwa na mtizamo mmoja kwenye kila jambo.
Na mwisho kabisa hilo swala la kumpiga naomba lifute kabisa kwa sababu zifuatazo:
1. Utaenda behind bars kwa kosa la kupiga na kudhalilisha
2.Badala ya wewe kuwa mpigaji unaeza geuka mpigwaji (Don't underestimate him)
3.Utaonekana mtu wa hovyo kutafta heshima kwa nguvu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakua watu wengi humu tunakushauri ukambonde we cha kufanya anza kutafuta pumzi tu kama wiki mbili hivi.

Ila kama na yeye yumo humu ndugu yangu utakuta surprise imekusurprise
Mkuu yaani hata akiwemo humu hana ubavu wa kunikabili hata kwa mbali nikishachemka damu,yaani namuombea Mungu tu amjulishe tu kuwa anachokifanya isn't right na asiombenikachafukwa roho yangu coz hataweza kunikabili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaangu umenichekesha hivi aliyekwambja kwamba ukiwa mkubwa kwenye familia we ndo final say ni nan?
Af mbona dogo kakujjbu vizuri kwamba anakuheshimu kama kaka yake lakini kukubaliana na mawazo yako kunategemeana na aina yenyewe ya mawazo(either +ve au -ve).
Afu kumsomesha mtu au kumlea mtu haikufanyi ndo akuogope na asitoe mawazo yake kwako.
Jifunze kukubali kukosolewa maana binadam wote hatuwezi kuwa na mtizamo mmoja kwenye kila jambo.
Na mwisho kabisa hilo swala la kumpiga naomba lifute kabisa kwa sababu zifuatazo:
1. Utaenda behind bars kwa kosa la kupiga na kudhalilisha
2.Badala ya wewe kuwa mpigaji unaeza geuka mpigwaji (Don't underestimate him)
3.Utaonekana mtu wa hovyo kutafta heshima kwa nguvu.


Sent using Jamii Forums mobile app
We ni mziwanda unatetea haki yetu ya kua wabishi?
 
Jamaangu umenichekesha hivi aliyekwambja kwamba ukiwa mkubwa kwenye familia we ndo final say ni nan?
Af mbona dogo kakujjbu vizuri kwamba anakuheshimu kama kaka yake lakini kukubaliana na mawazo yako kunategemeana na aina yenyewe ya mawazo(either +ve au -ve).
Afu kumsomesha mtu au kumlea mtu haikufanyi ndo akuogope na asitoe mawazo yake kwako.
Jifunze kukubali kukosolewa maana binadam wote hatuwezi kuwa na mtizamo mmoja kwenye kila jambo.
Na mwisho kabisa hilo swala la kumpiga naomba lifute kabisa kwa sababu zifuatazo:
1. Utaenda behind bars kwa kosa la kupiga na kudhalilisha
2.Badala ya wewe kuwa mpigaji unaeza geuka mpigwaji (Don't underestimate him)
3.Utaonekana mtu wa hovyo kutafta heshima kwa nguvu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa huyu mtoto anayetakiwa kusomeshwa naweza conclude kuwa baada ya wazazi mm ndio final decision maker coz mpaka sasa yupo chini ya ulezi wangu na wote wanajua kuwa nilimchukua ktk mazingira gani na ninamleaje,
Ulisema dogo kanijibu vizuri kuwa ananiheshimu kwa kuwa mm ni mkubwa wake pasipo kuangali maneno aliyoyatanguliza kuwa SIMTISHI KWA CHOCHOTE,ANANIHESHIMU TU KWA KUWA NI MKUBWA WAKE halafu ukasema kuwa kanijibu vizuri dah basi utakuwa bias afterall mi nipotolerant sana na hawa wadogo zangu but wananipanda kichwani kupita Maelezo hivyo nahisi uvumilivu unaelekea kunishinda,kiukweli Maelezo ni mengi but all in all hatua ni muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Sio hivyo ila najaribu kumuelewesha jamaa aache ukoloni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa mkoloni nahisi huyu dogo kuna baadhi ya meno ningekuwa nishamng'oa mkuu nadhani mwenye busara huomba ushauri kwa wengine pale anapokuwa anahisi kuishiwa ustahimilivu but angekuwa mwingine angereact on the spot so amini nimetumia pia busara yangu kidogo mola aliyonijaalia ktk kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza wewe ni mpumbavu sana. kwa hiyo wewe kuwazidi umri hao wadogo zako unataka uwatawale sio?. kwani wewe kumsaidia mdogo wako unaona kama umekuwa mungu kwake? fala wewe. na ungekuwa kaka angu ndo ungejua jinsi nilivoshikwa na hasira. mbuzi wewe
Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo nduguyo pasua aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshampa taarifa toka Jana kuwa siku nyingine arudie kuniambia maneno yake kadri anavyojisikia basi nitakuwa na deni la kumuonyesha kuwa mm na yy nani anamzidi mwenzio.I hv given him apromise kuwa nitamkumbusha kuwa nani ni mkubwa kuliko mwenzie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza wewe ni mpumbavu sana. kwa hiyo wewe kuwazidi umri hao wadogo zako unataka uwatawale sio?. kwani wewe kumsaidia mdogo wako unaona kama umekuwa mungu kwake? fala wewe. na ungekuwa kaka angu ndo ungejua jinsi nilivoshikwa na hasira. mbuzi wewe
I see sikuiona hii comment yako,nakusikitikia tu coz unaonekana ndio wale wale but sio mbaya kwa kuwa na ww umetumia haki yako ya msingi kuchangia post japo ulichokichangia unakijua mwenyewe.In short nimeshaamua kuwa muungwana sitakujibu vibaya nakushukuru kwa mchango wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hahahahaha hapana mkuu namshukuru Mungu kwa hiki kielimu kidogo nilichonacho na ndicho kimeniwezesha kuwafikisha hawa madogo hapa walipofika.

Haina maana kuwa huyu dogo ndio mwenye decision nop mi ndo wa mwisho katika maamuzi na nimeshaamua kuwa DOGO atajiajiri no one can add a word.
Ushauri niliouomba ni kuhusu nimfanye nn huyu dogo ili ajue mm ni kaka yake,?Ninafikiria kuwa natakiwa Kumtandika japo one day ili adabu irudi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumtandika hapana, ila ww mkazie tu kwenye mambo mengine. Mf ukishalipa ada basi km anapata mkopo ndio huo umsaidie kuishi chuo na mishw zake zote zingine.
Kiufupi, ishi nae kibandidu. Baada ya hapo utaona akili itamkaa sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumtandika hapana, ila ww mkazie tu kwenye mambo mengine. Mf ukishalipa ada basi km anapata mkopo ndio huo umsaidie kuishi chuo na mishw zake zote zingine.
Kiufupi, ishi nae kibandidu. Baada ya hapo utaona akili itamkaa sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana mkuu kwa mawazo yako,huyu yy kwa sasa sishughuliki naye mm ni mkopo unaomsomesha baada ya mm kumshughulikia huyu wa kike maana kipato chenyewe kilikuwa hakigawanyiki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kugombana kusiko na dira. Make chini msikilizane kama ndugu na pia wewe mkubwa inabidi usikilize pia na mawazo ya wadogo zako na mjadiliane kwa hoja na kufika muafaka. Ubabe wenu utaharibu future ya dogo
 
1. Malezi ya mtoto yanaanzia na umri gani? Tabia inajengeka kipindi kipi katika makuuzi ya binadamu? 3. Maongozi ya familia yanachangia kupata nidhamu ya familia? 4. Je? tunataka mfumo wa maisha binafsi au mfumo wa maisha ya familia. 5. Hivi, unamsomesha mdogo wako ili aishi maisha yake? 6. kumsomesha mtoto kumbe sio kuwekeza? 7 sasa, tofauti ya ubinadamu na ung'ombe haupo? Naambiwa ng'ombe dume hampandi mama yake, hivi ni kweli? Huu ndio mchango wangu tafadhali.
 
Acheni kugombana kusiko na dira. Make chini msikilizane kama ndugu na pia wewe mkubwa inabidi usikilize pia na mawazo ya wadogo zako na mjadiliane kwa hoja na kufika muafaka. Ubabe wenu utaharibu future ya dogo
Shukrani mkuu nitajitahidi kulitafutia suluhu na lazima nisimamie future ya huyu dogo wa mwisho coz hawa wengine wameshakuwa na mwanga wa maisha ila huyu yy bado yupo gizani hivyo lazima nimpambanie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom