Ushauri unahitajika

Ushauri unahitajika

Gwagwala

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
33
Reaction score
28
Ni mtumishi (Mwalimu msingi) aliyeamua kujiendeleza.Aliomba kuwekwa kwenye mpango wa masomo kwa miaka mitatu bila kufanikiwa.Mwaka Jana September,Akaamua kuomba scholarship katika chuo kikuu kimoja chini marekani(online) vilevile akawa ameomba tena kuwekwa kwenye mpango wa masomo.

Akabahatika kupata full funded scholarship na anaendelea na masomo online.Mwaka huu amepata barua ya kukubaliwa kuwekwa kwenye mpango, hivyo akaona afanye application baada ya dirisha la udahili wa vyuo vikuu kufunguliwa.
Katika selection hii amebahatika kuchaguliwa vyuo vikuu viwili.AMUCTa -Shahada ya elimu maalum na SUA Bachelor of science with education (Geo&Math).
Yupo njia Panda achukue kozi ipi kati ya hizi mbili? Vilevile anahitaji kujua kama hiyo Science ya elimu ataweza kuimudu andapo akiichuku hali ya kuwa hajapitia(hajasoma kabisa) advance. Lakini O level ana A ya maths na C ya Geo.
Note:Kozi ya online hajapenda kuiacha na ni B.B.A . Lakini Kama Kuna maoni nini afanye,anayapokea
Msaidieni Ushauri ndugu yetu.
 
Kama ulipata full scholarship kusoma online kwanini usiendelee na masomo maana tayari umesoma mwaka mzima sasa


Ukianza upya Sua sijui huko kwingine, utajikuta unapoteza muda mwingine zaidi

Ushauri wangu, bora ustick huko kwenye full scholarship ya Online
 
Nenda SUA, acha uwoga. Course content hii hapa, kama zimechange ni kidogo sana:

189.png


Nenda hafu ukimaliza ondoka iyo kazi.
 
Mkuu, Mimi sina maneno mengi aenda SUA chuo cha kibabe, pale unatoka na elimu sio cheti tu. Kuhusu kutopita Advance, Mimi nimepita SUA sikwambii program gani😁 ila Kuna Equivalents nimesoma nao na walitoboa vizuri tu. Pale ukifika kitabu kinaanza upya u-udvance au U-diploma unauweka pembeni.

Mwambie Aende SUA na akakaze maana pale kudisco sio jambo la kushangaza.
 
Kama ulipata full scholarship kusoma online kwanini usiendelee na masomo maana tayari umesoma mwaka mzima sasa


Ukianza upya Sua sijui huko kwingine, utajikuta unapoteza muda mwingine zaidi

Ushauri wangu, bora ustick huko kwenye full scholarship ya Online
Ahsante kwa Ushauri mkuu,Ukweli nikuwa huku online learning kuacha sipo tayari kabisa.Hasa Kwa kuwa nachojifunza nimeona kinagusa kabisa maisha yangu na kimenibadilisha kwa kiasi fulani.
Ninachotaka kujua ni ugumu wa huku kwingine kama nitaweza kuchagua moja ili nifanye na Ile ya online, 2 in one.
 
Ahsante kwa Ushauri mkuu,Ukweli nikuwa huku online learning kuacha sipo tayari kabisa.Hasa Kwa kuwa nachojifunza nimeona kinagusa kabisa maisha yangu na kimenibadilisha kwa kiasi fulani.
Ninachotaka kujua ni ugumu wa huku kwingine kama nitaweza kuchagua moja ili nifanye na Ile ya online, 2 in one.
Focus na fani moja

Ila kwakuwa ni mtumishi kwenye Sekta ya Elimu, nashauri usome fani hiyo hiyo ili iwe rahisi kupanda madaraja baada ya kuhitimu masomo

Ukibadirisha, utahitaji kufanyiwa recategorization ambapo kama ulishapanda na kuwa senior huko kwenye elimu, utajikuta una poromoka hadi kurudi chini
 
Ni mtumishi (Mwalimu msingi) aliyeamua kujiendeleza.Aliomba kuwekwa kwenye mpango wa masomo kwa miaka mitatu bila kufanikiwa.Mwaka Jana September,Akaamua kuomba scholarship katika chuo kikuu kimoja chini marekani(online) vilevile akawa ameomba tena kuwekwa kwenye mpango wa masomo.

Akabahatika kupata full funded scholarship na anaendelea na masomo online.Mwaka huu amepata barua ya kukubaliwa kuwekwa kwenye mpango, hivyo akaona afanye application baada ya dirisha la udahili wa vyuo vikuu kufunguliwa.
Katika selection hii amebahatika kuchaguliwa vyuo vikuu viwili.AMUCTa -Shahada ya elimu maalum na SUA Bachelor of science with education (Geo&Math).
Yupo njia Panda achukue kozi ipi kati ya hizi mbili? Vilevile anahitaji kujua kama hiyo Science ya elimu ataweza kuimudu andapo akiichuku hali ya kuwa hajapitia(hajasoma kabisa) advance. Lakini O level ana A ya maths na C ya Geo.
Note:Kozi ya online hajapenda kuiacha na ni B.B.A . Lakini Kama Kuna maoni nini afanye,anayapokea
Msaidieni Ushauri ndugu yetu.
Huyo jamaa yako ameoa?
 
Ahsante kwa Ushauri mkuu,Ukweli nikuwa huku online learning kuacha sipo tayari kabisa.Hasa Kwa kuwa nachojifunza nimeona kinagusa kabisa maisha yangu na kimenibadilisha kwa kiasi fulani.
Ninachotaka kujua ni ugumu wa huku kwingine kama nitaweza kuchagua moja ili nifanye na Ile ya online, 2 in one.
Piga kitabu mkuu
 
Mkuu, Mimi sina maneno mengi aenda SUA chuo cha kibabe, pale unatoka na elimu sio cheti tu. Kuhusu kutopita Advance, Mimi nimepita SUA sikwambii program gani😁 ila Kuna Equivalents nimesoma nao na walitoboa vizuri tu. Pale ukifika kitabu kinaanza upya u-udvance au U-diploma unauweka pembeni.

Mwambie Aende SUA na akakaze maana pale kudisco sio jambo la kushangaza.
Ahsante kwa Ushauri mkuu
Huyo jamaa yako ameoa?
Ndio
 
Ni mtumishi (Mwalimu msingi) aliyeamua kujiendeleza.Aliomba kuwekwa kwenye mpango wa masomo kwa miaka mitatu bila kufanikiwa.Mwaka Jana September,Akaamua kuomba scholarship katika chuo kikuu kimoja chini marekani(online) vilevile akawa ameomba tena kuwekwa kwenye mpango wa masomo.

Akabahatika kupata full funded scholarship na anaendelea na masomo online.Mwaka huu amepata barua ya kukubaliwa kuwekwa kwenye mpango, hivyo akaona afanye application baada ya dirisha la udahili wa vyuo vikuu kufunguliwa.
Katika selection hii amebahatika kuchaguliwa vyuo vikuu viwili.AMUCTa -Shahada ya elimu maalum na SUA Bachelor of science with education (Geo&Math).
Yupo njia Panda achukue kozi ipi kati ya hizi mbili? Vilevile anahitaji kujua kama hiyo Science ya elimu ataweza kuimudu andapo akiichuku hali ya kuwa hajapitia(hajasoma kabisa) advance. Lakini O level ana A ya maths na C ya Geo.
Note:Kozi ya online hajapenda kuiacha na ni B.B.A . Lakini Kama Kuna maoni nini afanye,anayapokea
Msaidieni Ushauri ndugu yetu.
Akikomaa na online course akimaliza atalazimika kufanyiwa recategorization.

Akienda huko alikochaguliwa atalazimika kuendelea kuwa mwalimu na kufanyiwa categorozation...

Kuhusu chuo, usijali, serikali inajali cheti sio chuo na level zake.

Huku hawataki chuo chako, HR atakachokuuliza "Cheti kiko wapi?""

Kwahiyo mambo ya level ya chuo na sijui msuli nini, TEMANA NAYO...

Maana utoke UD, SUA, ST. Mwananyalama, OXFORD, n.k ila level ya mshahara ni ileile.

Amuue yeye
1. Online, BBA = Anataka kufanyiwa recategorization awe Trade Officer, hapa ataanza na TGS D
2. Education = Endelee kuwa mwalimu na cheo chake cha sasa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom