Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

Mkuu huyo dogo ni kumuweka chini na kumwambia the way anakutreat si heshima,mkoromee aache kuongea n.a. wewe kama anaongea na his friend au mdogo wake.

Atakuelewa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni mfano tu wa majibu yake na mengine mengi ya style hii
PhotoGrid_1534781117024.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwache dogo akapige VETA aongeze ujuzi..wewe shida yako nini wakati ada hulipi wewe?... Veta atapata ujuzi mkubwa kupita hata angeenda Chuo Kikuu
 
Hana nidhamu huyu mtoto... siku moja muite mjifungie chumba wawili umtwange hadi kieleweke (chukua tahadhari usimuumize)
Good mkuu hata mm naliona hili kuwa the best alternative aisee yaani unajua hizo msg kila nikizisoma najisikia kuvibrate na tayari nimeshamwambia kuwa this should be the first n the last otherwise nitaichukua heshima kwa mikono yangu coz yy kagoma kunipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good mkuu hata mm naliona hili kuwa the best alternative aisee yaani unajua hizo msg kila nikizisoma najisikia kuvibrate na tayari nimeshamwambia kuwa this should be the first n the last otherwise nitaichukua heshima kwa mikono yangu coz yy kagoma kunipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nawe jitafakari.... mtu mzima ukikosewa heshima na mtoto nawe jitafakari kuna namna.

hizo meseji usimwonyeshe hata mama watoto aseeh.
 
Mwache dogo akapige VETA aongeze ujuzi..wewe shida yako nini wakati ada hulipi wewe?... Veta atapata ujuzi mkubwa kupita hata angeenda Chuo Kikuu
Mkuu nisikufiche ktk vyuo hivi vya taaluma za ufundi hakuna chuo nakikubali kama Veta but kwa hiyo kozi ya laboratory technology yaani hainiingii Ku mkichwa yaani naona nabet tu labda ingekuwa kozi nyingine ambayo binti anaweza kujiajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini pia wakuu mnaweza kunishauri pia naweza msomesha kitu gani huyu mtoto maana matokeo yake alipata DIV- IV ya 28 sasa mi kiukweli nimekuwa depressed sana na haya matokeo lakini pia nampenda sana huyu mdogo wangu.Je niko sahihi kutaka kumfungulia mradi wa kuku?japo aanzie kupata experience

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na makuku kuku zinahitaji commitment sana na uvumilivu, tafuta mradi mwingine kama duka la mangi unamjazia full na vinywaji na mobile money halafu bachelor sugu wewe ndo handsome unahangaika kutafuta mke humu?hivi wadada wa jf ni vipofu hawaoni na hawasomi maandishi yako?
 
Back
Top Bottom