Bachela kujipikia ni kupoteza muda na Pesa

uko sahihi, kujipikia bachela ni bajeti kubwa na uharibifu wa chakula maana kikibaki utalazimika kukitupa kwa kuwa kitakuwa kimechacha. Mgahawani unapewa madikodiko mengi kwa gharama ndogo na huokoa muda wa kupika upate muda wa kupumzika unaporudi nyumbani baada ya kazi
Mnalishwa hamira kwa wingi hamjui tu! Mgahawani mnauziwa chakula kilichobaki jana!
 
Kuna vitu unafanya halafu siku ukakaa ukatafakari utaona ulichagua njia isiyo sahihi kabisa....

Unapokua unaishi mwenyewe, ukaamua kujipikia basi labda iwe kwa mtazamo huuu

1. Ni kitu unapenda kutoka moyoni,
2. Unapoishi hakuna mgahawa karibu
3. Uchafu wa migahawa inayokuzunguka
4. Huwezi kutunza pesa hivyo bora ununue chakula hata ukiishiwa unachakua n.k lakini sio sababu ya Saving.

Lakini kinyume na hapo kama unaamini una save chochote basi unajidanganya,

1. Kupoteza mda, hiki ndio kipengele kikubwa, kuanzia manunuzi/maandalizi, kupika kwenyewe, kuosha vyombo, kusafisha jikoni, kupanga na shughuli nyingne zote zinazofanyika jikoni...

2. Kero za takataka, hasa ndugu zangu wa mjini, umepika ushamaliza mambo yako tumbo limejaa, kipengele ukiangalia makololo ya mabaki ya vyakula, hapo ndio unafikiria pakuyapeleka, Nyumba nyingne hazina Waste disposal nzuri, ni timing ifike usiku ukatupe barabarani.

3. Kero ya kucheza na bajeti, mda wote wewe kuwaza, unga nusu shilling kadhaa,mafuta nusu bei ile, Sukari kilo sijui sh ngapi, kesho ukienda bei imebadirika unakua mkali..

4. Gharama, kujipikia ni gharama, usijidanganye kabisa eti kuna kitu una save, Leo hii unaweza ukaenda mgahawani ukala chakula cha Buku, niambie ni katika mazingira gani utajipikia chakula baadae ukijumlisha mboga, chakula, gas, viungo, Chumvi n.k utakua umetumia chini ya buku? Nipe hio bajeti hapa na kweli iwe applicable.

5. Hasara, katika upikaji sio mda wote unachopika unakila chote, kuna kubakia, kuharibika, kuharibu, kuunguza n.k zote hizo ni lost ambazo ukiziweka kwenye mahesabu unazidi kuongeza budget..

6. Ratiba, upo sehemu unafanya hili na lile, kichwani unawaza kwenda kugombana na masufuriaa, unalazimika kufunga hata ofisi sababu umekua mfungwa wa kujipikia

Faida za kula mgahawani..

1. Unaokoa mda, hili ndio kubwa, utatumia huu mda kufanya mambo mengine ya msingi
2. Unaokoa pesa
3. Unakua flexible na nini ule, Nyumbani mda mwingine unalazimika kula kitu ambacho kuhutaka sababu tuu ndio kimebaki hutaki kukiharibu au
4. Unakua huru na ratiba zako mda ukifika unaenda kula unaendelea na ratiba.
5. Usafi, mda mwingi ndani panakua pasafi, unapofanya usafi ni wakawaida, Kinyume na hapo unatembea njiani vidole vinanuka vitunguu..
6. Unaepuka kero za takataka na maji taka.

Katika hayo yote simaanishi ndio usijue kupika, simaanishi usiwe na chombo hata kimoja,

Jifunze kupika, mana hujui na mazingira gani utalazimima kupika..

Nunua vyombo vyote, siku kwa kujiachia ukaona leo na mimi nijipikie, hio pia iko poa

ILA SIO KUA MTUMWA WA MAPISHI..
Pia kwa kiasi kikubwa hapa nazungumzia wale tuliopanga,

Kwa watu wenye Familia au zaidi ya mmoja Hilo la kupika yaweza kua options nzuri, Pia katika hili Sijalenga wanawake.

Niko tayari kukosolewa na kurekebishwa kwa hoja itapendeza.

Najua ni maisha yako, Sijakupangia namna ya kusihi, ni mtazamo tuu.
Ningali kijana hata mimi niliamini hivyo 100%; migahawa mikubwa yote ya Sinza wakati huo walinijuwa sana hasa kwa vile nilikuwa na gari la kipekee sana enzi hizo, hivyo ukishafika na kupaki wanajua umefia. Lakini baadaye nilikuja gundua kuwa ulikuwa ni ujinga sana
 
Mimi naomba niwakumbushe wale wanaooamini Kupika baadhi ya vyakula/mboga zinazotumia mda mrefu mfano maharage eti kutumia mkaa unasave gharama tofauti na Gas,

Hahaa ndugu yangu kaa vizuri tafakari piga hesabu.
Gas ni cheap zaidi ya mkaa,
Kinachokutesa ni hofu ya technology na ule mlio ges ikiwa inanguruma mda mrefu tuu..

Halaf kwa mimi ninayetumia umeme wa 4 tariff, yaani elf 2 napata unit zaidi ya 16, mimi umeme kwangu ni cheap kupikia kuliko hio Gas
Screenshot_20230711_074950_Messages.jpg
Wapishi Wengi ni waoga wa Technology.
 
Kula mgahawani ni gharama kuliko kupika

Kaa chini upige tena hesabu zako
Mimi ninapoishi
Ugali/Wali + Mboga za majani, Dagaa/maharage = 1000

Ugali/Wali + Mboga za majani, Nyama(3) = 1500

Twende kazi hapa... ukijipikia.
Mboga za majani, Nyanya, Vitunguu, chumvi, karoti, hoho(hivyo vyote unavipata ndani ya buku) weka sasa hizo Dagaa na unga au mchele ni katika mazingira gani utavipata chini ya buku?

Ukiweza kujikongoja, njoo kwenye Gas, mafuta,

Suala la GHARAMA naungana na mtoa mada, hakuna mazingira unaweza kupika chakula cha kawaida tuu chini ya Buku. HAKUNA, Come again.
 
Kuna vitu unafanya halafu siku ukakaa ukatafakari utaona ulichagua njia isiyo sahihi kabisa....

Unapokua unaishi mwenyewe, ukaamua kujipikia basi labda iwe kwa mtazamo huuu

1. Ni kitu unapenda kutoka moyoni,
2. Unapoishi hakuna mgahawa karibu
3. Uchafu wa migahawa inayokuzunguka
4. Huwezi kutunza pesa hivyo bora ununue chakula hata ukiishiwa unachakua n.k lakini sio sababu ya Saving.
5. Mgahawani hawapiki chakula kizuri.

Lakini kinyume na hapo kama unaamini una save chochote basi unajidanganya,

1. Kupoteza mda, hiki ndio kipengele kikubwa, kuanzia manunuzi/maandalizi, kupika kwenyewe, kuosha vyombo, kusafisha jikoni, kupanga na shughuli nyingne zote zinazofanyika jikoni...

2. Kero za takataka, hasa ndugu zangu wa mjini, umepika ushamaliza mambo yako tumbo limejaa, kipengele ukiangalia makololo ya mabaki ya vyakula, hapo ndio unafikiria pakuyapeleka, Nyumba nyingne hazina Waste disposal nzuri, ni timing ifike usiku ukatupe barabarani.

3. Kero ya kucheza na bajeti, mda wote wewe kuwaza, unga nusu shilling kadhaa,mafuta nusu bei ile, Sukari kilo sijui sh ngapi, kesho ukienda bei imebadirika unakua mkali..

4. Gharama, kujipikia ni gharama, usijidanganye kabisa eti kuna kitu una save, Leo hii unaweza ukaenda mgahawani ukala chakula cha Buku, niambie ni katika mazingira gani utajipikia chakula baadae ukijumlisha mboga, chakula, gas, viungo, Chumvi n.k utakua umetumia chini ya buku? Nipe hio bajeti hapa na kweli iwe applicable.

5. Hasara, katika upikaji sio mda wote unachopika unakila chote, kuna kubakia, kuharibika, kuharibu, kuunguza n.k zote hizo ni lost ambazo ukiziweka kwenye mahesabu unazidi kuongeza budget..

6. Ratiba, upo sehemu unafanya hili na lile, kichwani unawaza kwenda kugombana na masufuriaa, unalazimika kufunga hata ofisi sababu umekua mfungwa wa kujipikia

Faida za kula mgahawani..

1. Unaokoa mda, hili ndio kubwa, utatumia huu mda kufanya mambo mengine ya msingi
2. Unaokoa pesa
3. Unakua flexible na nini ule, Nyumbani mda mwingine unalazimika kula kitu ambacho kuhutaka sababu tuu ndio kimebaki hutaki kukiharibu au
4. Unakua huru na ratiba zako mda ukifika unaenda kula unaendelea na ratiba.
5. Usafi, mda mwingi ndani panakua pasafi, unapofanya usafi ni wakawaida, Kinyume na hapo unatembea njiani vidole vinanuka vitunguu..
6. Unaepuka kero za takataka na maji taka.

Katika hayo yote simaanishi ndio usijue kupika, simaanishi usiwe na chombo hata kimoja,

Jifunze kupika, mana hujui na mazingira gani utalazimima kupika..

Nunua vyombo vyote, siku kwa kujiachia ukaona leo na mimi nijipikie, hio pia iko poa

ILA SIO KUA MTUMWA WA MAPISHI..
Pia kwa kiasi kikubwa hapa nazungumzia wale tuliopanga,

Kwa watu wenye Familia au zaidi ya mmoja Hilo la kupika yaweza kua options nzuri, Pia katika hili Sijalenga wanawake.

Niko tayari kukosolewa na kurekebishwa kwa hoja itapendeza.

Najua ni maisha yako, Sijakupangia namna ya kusihi, ni mtazamo tuu.
Ukweli mtupu. Chakula cha mtu mmoja ni ghali sana. Yaani mboga tu gharama yake unaongelea zàidi ya 4000 mpaka ikamilike kulika.

Wakati hiyo pesa nikienda mgahawani nakula safi kabisa na mtindi naagiza.😂
 
Icho chakula cha 1000/2000 kwa mwanaume hakitoshi labda km unafanya kazi ya kuuza duka
Mimi ninapoishi
Ugali/Wali + Mboga za majani, Dagaa/maharage = 1000

Ugali/Wali + Mboga za majani, Nyama(3) = 1500

Twende hapa... ukijipikia.
Mboga za majani, Nyanya, Vitunguu, chumvi, karoti, hoho(hivyo vyote navipata ndani ya buku) weka sasa hizo Dagaa na unga au mchele ni katika mazingira gani utavipata chini ya buku?

Ukiweza kujikongoja, njoo kwenye Gas, mafuta,

Suala la GHARAMA naungana na mtoa mada, hakuna mazingira unaweza kupika chakula cha kawaida tuu chini ya Buku. HAKUNA, Come again.
 
Nikijipikia mboga itabaki nitaila wakati Mwingine.

Nikijipikia nitakula kile kitu roho inapenda.

Nikijipikia Nina uhakika na chakula ninachokula

Nikijipikia napunguza gharama za matumizi
Point.
 
Bachelor's nyie ni sawa ila hata baadhi ya wanawake hawawez pika sababu wapo wenyew Kwa mm siwez aisee napika mwanzo mwisho japo nipo mwenyewe napika Milo yote pia naenjoy sababu Nakul kitu ninachotaka
Duh kumne hapa nitakuwa naulizwa unataka kula kwanza au kulaaaa kwanza🤣🤣🤣🤣

By the usiku wote huo wafanya nini jf wakati unatakiwa kuwa unapumzika na hubby bibie
 
Labda kama wachimba mtaro na kusukuma mkokoteni
Ni kweli, tukija katika picha hio, tutoe suala la gharama ila tusema tuu chakula cha mgahawani kwa ujumla tuu ni kichache, mana kuna sehemu unakula chakua cha elf nne bado unaweza usishibe.
 
Kwa mjini sawa.
Mfano unafanya kazi posta unaishi Bunju au Tegeta mda mwingi upo barabarani kuwahi usafir
 
Ndio mkuu mwanaume kula chakula cha 2000 hata afya yako haiwezi kuwa sawa
Ni kweli, tukija katika picha hio, tutoe suala la gharama ila tusema tuu chakula cha mgahawani kwa ujumla tuu ni kichache, mana kuna sehemu unakula chakua cha elf nne bado unaweza usishibe.
 
Mimi ninapoishi
Ugali/Wali + Mboga za majani, Dagaa/maharage = 1000

Ugali/Wali + Mboga za majani, Nyama(3) = 1500

Twende kazi hapa... ukijipikia.
Mboga za majani, Nyanya, Vitunguu, chumvi, karoti, hoho(hivyo vyote unavipata ndani ya buku) weka sasa hizo Dagaa na unga au mchele ni katika mazingira gani utavipata chini ya buku?

Ukiweza kujikongoja, njoo kwenye Gas, mafuta,

Suala la GHARAMA naungana na mtoa mada, hakuna mazingira unaweza kupika chakula cha kawaida tuu chini ya Buku. HAKUNA, Come again.
Ukiwa na friji na microwave wewe ni kupika vitu vya week mzima kama maharage nyama
 
Back
Top Bottom