Kumnyima mtoto kazi za nyumbani sio kumjali bali ni kumuharibu. Hizi ni orodha za kazi inazobidi azoee kulingana na umri wake

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
1699007953222.png

Kama kweli unampenda mtoto wako / unaemlea ni muhimu sana kumuandalia mazingira ya kuweza kujitegemea kikamilifu kwa majukumu ya kimsingi,

pindi mtoto afikapo miaka 13 awe anaweza kuji handle mwenyewe na shughuli za nyumbani kwa ujumla, kinyume na hapo basi ujijue wewe kama mzazi umefeli malezi ya kawaida kabisa.

Ma house girl na house boy waweza kuwaajiri lakini ni kosa kubwa sana kuwahamishia kazi za watoto wako, bill gates na utajiri wake watoto walifanya kazi za nyumbani.

Kuna wazazi ambao utotoni walifanyishwa kazi nyingi sana kiasi ziliwachosha sana na kuwafanya wazichukie kazi za nyumbani kwa ujumla, kundi hili limeathirika kisaikolojia na wakiwa watu wazima wakipata pesa za kuajiri house girl wanaona kila kazi kwa mtoto ni mateso, baadhi utawasikia "sitaki mtoto wangu apitie shida kama nilizopotia acha apumzike"

Hii sio sawa hata kidogo, kinachopaswa kuzingatiwa ni kumpa kazi mtoto kulingana na umri wake ila sio vinginevyo.

Tabia ya kurudia rudia hujenga mazoea, Mtoto inabidi azoee hizi kazi kwa faida yake na jamii kiujumla.

Kila baada ya mwaka au miaka miwili unamzoesha majukumu mapya huku akiendelea na ya zamani.

MIAKA 3
Majukumu binafsi
  • Kuoga mwenyewe chini ya uangalizi
  • kupiga mswaki kila akiamka na kabla ya kulala
  • Kuweka nguo chafu kwenye tenga
  • Akimaliza kula apeleke chombo sehemu ya kuoshea
  • akimaliza kutumia kitu ajue pa kukirudisha na kukipanga (toys, midoli, vitabu, rimoti. n.k)

MIAKA 4 - 5
Majukumu Binafsi
  • Kuchota maji yakuogea na kujiogesha bila kufunga mlango
  • kufua nguo nyepesi za ndani, leso na soksi.
  • kufuta meza baada ya kula.
  • kuosha sahani yake aliyolia.
  • kukunja nguo zake
  • kubrush viatu vyake

Majukumu ya kifamilia
  • kufuta vyombo vilivyooshwa kasoro vyenye ncha kali

MIAKA 6 - 7
Majukumu binafsi
  • kuoga mwenyewe
  • kutandika kitanda
  • kujiamsha na kujiandaa kwenda shule
  • kufua nguo zake kila siku
  • Kujiandalia chai
  • kufagia chumba chake na kupiga deki

Majukumu ya kifamilia
  • Kufagia uwanja wa ndani ya nyumba
  • kumwagilia maua / bustani ya nyumbani
  • kuosha vyombo
  • kukunja nguo za wazazi / walezi

MIAKA 8-9
Majukumu binafsi
  • kupiga pasi nguo zake
  • kujipikia chakula kwa uangalizi wa karibu

Majukumu ya nyumba
  • Kufagia uwanja wa nje
  • kupalilia bustani / kupanda mboga za bustan

MIAKA 10 - 11
Majukumu Binafsi
  • kuweza kujipikia
  • kama kazoea schoolbus/lift ajifunze kwenda mwenyewe
Majukumu ya nyumbani
  • Kusafisha choo
  • kukata / kufyeka nyasi
MIAKA 12 - 13

Kwa umri huu tayari i inabidi awe anaweza kujifanyia majukumu binafsi mengi, umri huu ni kuweka efforts kwenye majukumu ya familia na mazingira ya byumbani.
  • Kupika chakula cha familia
  • kuosha gari / pikipiki
  • msimu wa kulima mkalime wote
  • kwenda kumwaga taka za nyumba kwenye dampo
  • kusafisha banda la kuku, mbwa, ngombe, n.k.
  • kuchinja kuku
  • n.k

ANGALIZO

usizoee kumpa mtoto pesa kufanya kazi za nyumbani, inabidi aelewe kuwa mambo anayofanya ni kwajili ya usafi wake, mazingira yake, kujifunza namna ya kuishi kwenye jamii za watu, n.k. mlipe pale unapoona kafanya kazi iliyovuka anayotakiwa kuifanya na awe karidhia kuifanya.

Ni njia ipi nzuri ya kuwasimamia wafanye majikimu yao ? wahakikishe wanafanya kazi zao kabla ya kucheza games, kuangalia tv, kucheza na wenzao, n.k. kiburi kikizidi kuwapandishia sauti inaweza kusaidia, inapobidi tumia kiboko (usitumie ngumi, gogo, mtwangio, mateke, n.k.)
 
Sasa ataishi na nani kila mlezi atamuona kama mzigo
Naye walezi atawaona kama magaidi
samaki akikunjwa akukauka lazima akatike katike ukimkunja.

wanaoanza kujifunza ukubwani ni ngumu kujenga mazoea ya kufanya hivi vitu, hata wataojifunza ni kwa maumivu makali sambamba na kuchekwa, kutengwa, n.k. vuta picha ni nani anapenda kuishi na mtu hata kujihudumia ishu za kawaida ni mpaka asimamiwe
 
We tafuta pesa bna...vitoto vyenyewe hivi...kinatoa kidudu kinaurusha mkojo kwa misifa afu ukapangie majukumu kama hayo...mbona katahis ww ni Hamas
 
View attachment 2802410
Kama kweli unampenda mtoto wako / unaemlea ni muhimu sana kumuandalia mazingira ya kuweza kujitegemea kikamilifu kwa majukumu ya kimsingi.

Ma house girl na house boy waweza kuwaajiri lakini ni kosa kubwa sana kuwahamishia kazi za watoto wako.

Kuna wazazi ambao utotoni walifanyishwa kazi nyingi sana kiasi ziliwachosha sana na kuwafanya wazichukie kazi za nyumbani kwa ujumla, kundi hili limeathirika kisaikolojia na wakiwa watu wazima wakipata pesa za kuajiri house girl wanaona kila kazi kwa mtoto ni mateso, baadhi utawasikia "sitaki mtoto wangu apitie shida kama nilizopotia acha apumzike"

Hii sio sawa hata kidogo, kinachopaswa kuzingatiwa ni kumpa kazi mtoto kulingana na umri wake ila sio vinginevyo.

Tabia hujenga mazoea, Lengo ni kumfanya mtoto azizoee kazi hizi kwa faida yake na jamii kiujumla. Kadri anavyokuwa aweze kufanya majukumu mapya huku akiendelea na ya zamani

MIAKA 3
Majukumu binafsi
  • Kuoga mwenyewe chini ya uangalizi
  • Kuweka nguo chafu kwenye tenga
  • Akimaliza kula apeleke chombo sehemu ya kuoshea
  • akimaliza kutumia kitu ajue pa kukirudisha na kukipanga (toys, midoli, vitabu, rimoti. n.k)

MIAKA 4 - 5
Majukumu Binafsi
  • Kuchota maji yakuogea na kujiogesha bila kufunga mlango
  • kufua nguo nyepesi za ndani, leso na foronya.
  • kufuta meza baada ya kula.
  • kuosha sahani yake aliyolia.
  • kutandika kitanda
  • kukunja nguo zake

Majukumu ya kifamilia
  • kumwagilia maua / bustani ya nyumbani
  • kufuta vyombo vilivyooshwa kasoro vyenye ncha kali

MIAKA 6 - 7
Majukumu binafsi
  • kuoga mwenyewe
  • kufua nguo zake kila siku
  • Kujiandalia chai
  • kufagia chumba chake na kupiga deki
  • kupiga pasi nguo zake (miaka 7)

Majukumu ya kifamilia
  • Kufagia uwanja wa ndani ya nyumba
  • kupalilia bustani
  • kusha gari ama pikipiki (wavulana)
  • kukunja nguo za wazazi / walezi

MIAKA 8-9
Majukumu binafsi
  • kupiga pasi nguo zake
  • kulisha mifugo
  • kujipikia chakula kwa uangalizi wa karibu

Majukumu ya nyumba
  • Kufagia uwanja wa nje

MIAKA 10 - 11
Majukumu Binafsi
  • kuweza kujipikia
  • kama kazoea schoolbus/lift ajifunze kwenda mwenyewe
Majukumu ya nyumbani
  • Kusafisha choo
  • kukata / kufyeka nyasi
MIAKA 12 - 13 (wengi ndio safari ya ukubwa huanzia hapa)

Majukumu binafsi
  • kumfunza usafi binafsi kwenye mabadiliko ya mwili

majukumu ya familia
  • Kupika chakula cha familia

ANGALIZO

usizoee kumpa mtoto pesa kufanya kazi za nyumbani, inabidi aelewe kuwa mambo anayofanya ni kwajili ya usafi wake, mazingira yake, kujifunza namna ya kuishi kwenye jamii za watu, n.k. mlipe pale unapoona kafanya kazi iliyovuka anayotakiwa kuifanya na awe karidhia kuifanya.

Ni njia ipi nzuri ya kuwasimamia wafanye majikimu yao ? wahakikishe wanafanya kazi zao kabla ya kucheza games, kuangalia tv, kucheza na wenzao, n.k. kiburi kikizidi kuwapandishia sauti inaweza kusaidia, tia viboko wakikaidi (usitumie ngumi, gogo, mtwangio, mateke)
Naunga mkono hoja
 
View attachment 2802410
Kama kweli unampenda mtoto wako / unaemlea ni muhimu sana kumuandalia mazingira ya kuweza kujitegemea kikamilifu kwa majukumu ya kimsingi.

Ma house girl na house boy waweza kuwaajiri lakini ni kosa kubwa sana kuwahamishia kazi za watoto wako, bill gates na utajiri wake wote ule watoto walifanya kazi za nyumbani.

Kuna wazazi ambao utotoni walifanyishwa kazi nyingi sana kiasi ziliwachosha sana na kuwafanya wazichukie kazi za nyumbani kwa ujumla, kundi hili limeathirika kisaikolojia na wakiwa watu wazima wakipata pesa za kuajiri house girl wanaona kila kazi kwa mtoto ni mateso, baadhi utawasikia "sitaki mtoto wangu apitie shida kama nilizopotia acha apumzike"

Hii sio sawa hata kidogo, kinachopaswa kuzingatiwa ni kumpa kazi mtoto kulingana na umri wake ila sio vinginevyo.

Tabia hujenga mazoea, Lengo ni kumfanya mtoto azizoee kazi hizi kwa faida yake na jamii kiujumla. Kadri anavyokuwa aweze kufanya majukumu mapya huku akiendelea na ya zamani

MIAKA 3
Majukumu binafsi
  • Kuoga mwenyewe chini ya uangalizi
  • kupiga mswaki kila akiamka na kabla ya kulala
  • Kuweka nguo chafu kwenye tenga
  • Akimaliza kula apeleke chombo sehemu ya kuoshea
  • akimaliza kutumia kitu ajue pa kukirudisha na kukipanga (toys, midoli, vitabu, rimoti. n.k)

MIAKA 4 - 5
Majukumu Binafsi
  • Kuchota maji yakuogea na kujiogesha bila kufunga mlango
  • kufua nguo nyepesi za ndani, leso na foronya.
  • kufuta meza baada ya kula.
  • kuosha sahani yake aliyolia.
  • kutandika kitanda
  • kukunja nguo zake

Majukumu ya kifamilia
  • kufuta vyombo vilivyooshwa kasoro vyenye ncha kali

MIAKA 6 - 7
Majukumu binafsi
  • kuoga mwenyewe
  • kujiamsha na kujiandaa kwenda shule
  • kufua nguo zake kila siku
  • Kujiandalia chai
  • kufagia chumba chake na kupiga deki

Majukumu ya kifamilia
  • Kufagia uwanja wa ndani ya nyumba
  • kumwagilia maua / bustani ya nyumbani
  • kuosha vyombo
  • kukunja nguo za wazazi / walezi

MIAKA 8-9
Majukumu binafsi
  • kupiga pasi nguo zake
  • kulisha mifugo
  • kujipikia chakula kwa uangalizi wa karibu

Majukumu ya nyumba
  • Kufagia uwanja wa nje
  • kupalilia bustani / kupanda mboga za bustan

MIAKA 10 - 11
Majukumu Binafsi
  • kuweza kujipikia
  • kama kazoea schoolbus/lift ajifunze kwenda mwenyewe
Majukumu ya nyumbani
  • Kusafisha choo
  • kukata / kufyeka nyasi
MIAKA 12 - 13 (wengi ndio safari ya ukubwa huanzia hapa)

Majukumu binafsi
  • kumfunza usafi binafsi kwenye mabadiliko ya mwili

majukumu ya familia
  • Kupika chakula cha familia

ANGALIZO

usizoee kumpa mtoto pesa kufanya kazi za nyumbani, inabidi aelewe kuwa mambo anayofanya ni kwajili ya usafi wake, mazingira yake, kujifunza namna ya kuishi kwenye jamii za watu, n.k. mlipe pale unapoona kafanya kazi iliyovuka anayotakiwa kuifanya na awe karidhia kuifanya.

Ni njia ipi nzuri ya kuwasimamia wafanye majikimu yao ? wahakikishe wanafanya kazi zao kabla ya kucheza games, kuangalia tv, kucheza na wenzao, n.k. kiburi kikizidi kuwapandishia sauti inaweza kusaidia, inapobidi tumia kiboko (usitumie ngumi, gogo, mtwangio, mateke, n.k.)
Wale Wapumbavu wa "kila Mtu na maisha yake" wakemee vikali sana watokomee kusikojulikana.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ungeandika namna ya kumwandalia mtoto Birthday Party wangetiririka kutaja accessories, DJ album na aina za keki.

Jamii ya sasa ni ya wajuaji. Good lesson though. Nikipata familia nitaishi kwenye misingi hiyo. Kwa sasa acha niendelee kuwa senior bachelor.
 
View attachment 2802410
Kama kweli unampenda mtoto wako / unaemlea ni muhimu sana kumuandalia mazingira ya kuweza kujitegemea kikamilifu kwa majukumu ya kimsingi, pindi afikapo miaka 13 awe anaweza kuji handle mwenyewe na shughuli za nyumbani kwa ujumla.

Ma house girl na house boy waweza kuwaajiri lakini ni kosa kubwa sana kuwahamishia kazi za watoto wako, bill gates na utajiri wake wote ule watoto walifanya kazi za nyumbani.

Kuna wazazi ambao utotoni walifanyishwa kazi nyingi sana kiasi ziliwachosha sana na kuwafanya wazichukie kazi za nyumbani kwa ujumla, kundi hili limeathirika kisaikolojia na wakiwa watu wazima wakipata pesa za kuajiri house girl wanaona kila kazi kwa mtoto ni mateso, baadhi utawasikia "sitaki mtoto wangu apitie shida kama nilizopotia acha apumzike"

Hii sio sawa hata kidogo, kinachopaswa kuzingatiwa ni kumpa kazi mtoto kulingana na umri wake ila sio vinginevyo.

Tabia hujenga mazoea, Lengo ni kumfanya mtoto azizoee kazi hizi kwa faida yake na jamii kiujumla. Kadri anavyokuwa aweze kufanya majukumu mapya huku akiendelea na ya zamani

MIAKA 3
Majukumu binafsi
  • Kuoga mwenyewe chini ya uangalizi
  • kupiga mswaki kila akiamka na kabla ya kulala
  • Kuweka nguo chafu kwenye tenga
  • Akimaliza kula apeleke chombo sehemu ya kuoshea
  • akimaliza kutumia kitu ajue pa kukirudisha na kukipanga (toys, midoli, vitabu, rimoti. n.k)

MIAKA 4 - 5
Majukumu Binafsi
  • Kuchota maji yakuogea na kujiogesha bila kufunga mlango
  • kufua nguo nyepesi za ndani, leso na foronya.
  • kufuta meza baada ya kula.
  • kuosha sahani yake aliyolia.
  • kukunja nguo zake

Majukumu ya kifamilia
  • kufuta vyombo vilivyooshwa kasoro vyenye ncha kali

MIAKA 6 - 7
Majukumu binafsi
  • kuoga mwenyewe
  • kutandika kitanda
  • kujiamsha na kujiandaa kwenda shule
  • kufua nguo zake kila siku
  • Kujiandalia chai
  • kufagia chumba chake na kupiga deki

Majukumu ya kifamilia
  • Kufagia uwanja wa ndani ya nyumba
  • kumwagilia maua / bustani ya nyumbani
  • kuosha vyombo
  • kukunja nguo za wazazi / walezi

MIAKA 8-9
Majukumu binafsi
  • kupiga pasi nguo zake
  • kujipikia chakula kwa uangalizi wa karibu

Majukumu ya nyumba
  • Kufagia uwanja wa nje
  • kupalilia bustani / kupanda mboga za bustan

MIAKA 10 - 11
Majukumu Binafsi
  • kuweza kujipikia
  • kama kazoea schoolbus/lift ajifunze kwenda mwenyewe
Majukumu ya nyumbani
  • Kusafisha choo
  • kukata / kufyeka nyasi
MIAKA 12 - 13 (wengi ndio safari ya ukubwa huanzia hapa)

Majukumu binafsi
  • kumfunza usafi binafsi kwenye mabadiliko ya mwili

majukumu ya familia
  • Kupika chakula cha familia

ANGALIZO

usizoee kumpa mtoto pesa kufanya kazi za nyumbani, inabidi aelewe kuwa mambo anayofanya ni kwajili ya usafi wake, mazingira yake, kujifunza namna ya kuishi kwenye jamii za watu, n.k. mlipe pale unapoona kafanya kazi iliyovuka anayotakiwa kuifanya na awe karidhia kuifanya.

Ni njia ipi nzuri ya kuwasimamia wafanye majikimu yao ? wahakikishe wanafanya kazi zao kabla ya kucheza games, kuangalia tv, kucheza na wenzao, n.k. kiburi kikizidi kuwapandishia sauti inaweza kusaidia, inapobidi tumia kiboko (usitumie ngumi, gogo, mtwangio, mateke, n.k.)
Somo zuri sana hili ila cha ajabu kuna watu humu watakwambia mambo ya CHADEMA
 
Watoto sahv wao wanataka wakate mauno tu na kusiwasikia wakina zuchu

Ova
 
Back
Top Bottom