Baby ntumie Laki niende Saluni

Baby ntumie Laki niende Saluni

Mimi sio wa diazini hiyo, ila nimeona sana na nimeshuhudia sana wanaume wanajigamba kwenye vijiwe kuwa usimpo mdangaya demu hakubali, hata kama una malengo naye badae anakuoma msaamaha ukishajua
Na mie sio mwanamke wa namna hiyo! Ukinidanganya nikijua tunaishia hapo!
 
Na mie sio mwanamke wa namna hiyo! Ukinidanganya nikijua tunaishia hapo!
Sakayo Na ukijua baada ya kumpata mtoto au ukiwa na ujauzito wake wa miezi 7 unafanyaje maamuzi yatakuwa hayo hayo au
 
Sakayo Na ukijua baada ya kumpata mtoto au ukiwa na ujauzito wake wa miezi 7 unafanyaje maamuzi yatakuwa hayo hayo au
Mkuu!
Uongo huwa haudumu kwa muda! Na kama mtu ana malengo na mie ananidanganya ili iweje!

Usidhani kuzaa ni rahisi hivyo, hasa kwa mtu ambaye hajiamini na maisha yake!
 
Na kumbuka nimekwambia tunaangalia mtu sio picha ya mtu, inabidi nikufahamu kindakindaki kama Relief Mirzska [emoji3][emoji3]
Hahahahahahahaah!

Unanijua mimi?? Nimuulize cute b ?
In shaa Allah bro. Going to meet them soon, wasnt with them this weekend. Nliamua kumtafuta Khantwe
Hivi kwanini unapenda kunisemea kwa cute b lakini
Hivi kumbe nakusemea hapo eti??
Alright then.!!
 
Yanaukweli haya
Mimi sio wa diazini hiyo, ila nimeona sana na nimeshuhudia sana wanaume wanajigamba kwenye vijiwe kuwa usimpo mdangaya demu hakubali, hata kama una malengo naye badae anakuoma msaamaha ukishajua
 
Back
Top Bottom