Baby ntumie Laki niende Saluni

Baby ntumie Laki niende Saluni

Hapo ndo mnapokwama sasa! Unaongea uongo ili iwejee! Mtu anapenda uongo wako na sio wewe!
Kwani mkitongozwa kwa kuambiwa ukweli huwa mnakubali, hata wewe hapo aliyekupata alitumia uongo kiasi ili akupate ukaingia
 
Kwani mkitongozwa kwa kuambiwa ukweli huwa mnakubali, hata wewe hapo aliyekupata alitumia uongo kiasi ili akupate ukaingia
Tatizo mmekariri, kama una malengo na mtu huwezi kumdanganya! Vipi akija kuujua ukweli akakuacha, wakati ulikuwa na malengo naye?!

Sio kila mwanamke anapenda uongo, na hicho ndo kinawatesa!
 
Bujibuji kumbe umeshakutana na hilo, ulifanyaje tusaidie ili tukikutana na hilo tujue la kujibu
Huwa nawajibu kirahisi tu, ntakufanyia maombi, Bwana atakutendea muujiza kama wangu, hautokuwa ombaomba tena, na wewe utakuwa unagawa tu mapesa, sema Amen Dada, amini umepokea.
Baada ya hapo napokea meseji moja ya mfyonyo mkaliiiiiiiii na mahusiano yanafika kikomo
 
Mimi sio wa diazini hiyo, ila nimeona sana na nimeshuhudia sana wanaume wanajigamba kwenye vijiwe kuwa usimpo mdangaya demu hakubali, hata kama una malengo naye badae anakuoma msaamaha ukishajua
Tatizo mmekariri, kama una malengo na mtu huwezi kumdanganya! Vipi akija kuujua ukweli akakuacha, wakati ulikuwa na malengo naye?!

Sio kila mwanamke anapenda uongo, na hicho ndo kinawatesa!
 
Huwa nawajibu kirahisi tu, ntakufanyia maombi, Bwana atakutendea muujiza kama wangu, hautokuwa ombaomba tena, na wewe utakuwa unagawa tu mapesa, sema Amen Dada, amini umepokea.
Baada ya hapo napokea meseji moja ya mfyonyo mkaliiiiiiiii na mahusiano yanafika kikomo
😀 Ntamani tukutana dar siku moja nikuone tukae tunywe bia nyingi unipe story na unipe mbinu
 
Tatizo mmekariri, kama una malengo na mtu huwezi kumdanganya! Vipi akija kuujua ukweli akakuacha, wakati ulikuwa na malengo naye?!

Sio kila mwanamke anapenda uongo, na hicho ndo kinawatesa!
Ndio maana siku zote nikigundua mtu alinidanganya hata kitu kidogo sana napoteza Imani nae, haiwezekani mtu adanganye jambo ambalo anajua baadae nitalifahamu tu, huyo anakuwa hayuko serious
 
Si -anaufanya uongo wake kama chambo ili akukule tu. ...Halafu aendelee na mambo yake. ..

Maana asilimia kubwa ya wanawake wakiambiwa ukweli huwa ni wasumbufu
Hapo ndo mnapokwama sasa! Unaongea uongo ili iwejee! Mtu anapenda uongo wako na sio wewe!
 
Hahah una -mtumia mwanamke pesa. .Halafu hata kukuambia Asante hataki ana kulia mikausho. .aise huo ujinga huwa sitakagi kushiriki
Weka na hela ya kutolea, halafu mama mkwe wake bibi amefariki, Naomba nauli na hela ya kula njiani na savanna mbili
 
BAHATI nzr huongi nguvu unahonga hela, kwa hiyo minguvu inakuwepo hasara iko wapi hapo!!?
Hasara Iko wapi? ...kuwa serious aise. ..Maisha yetu Yana tegemea Wakati.Akili. na nguvu kwa kiasi kikubwa mnoo. .yatupasa kuvitumia vyema hizo resources ili tuweze kupiga hatua katika maisha yetu kwa sababu ni vitu ambavyo vina limit. ...so ukivitumia vibaya ipo siku lazima itakuja kuku gharimu tu maishani
 
Back
Top Bottom