Baby I do

Baby I do

KK is there anything that you wont do?

It is sweet when you said "BABY I DO" !!!!!!!!!!!

So keep on with the do.
 
khaaaa! Kweli mapenzi yashaexpire.
Kabakabana kila la heri na x husb wangu.

ahsante wifi usijali kizuri kula na nduguyo au?halafu ndo nini leo kutopokea simu yangu au bado ulikuwa hujakubaliana na ukweli?
 
ahsante wifi usijali kizuri kula na nduguyo au?halafu ndo nini leo kutopokea simu yangu au bado ulikuwa hujakubaliana na ukweli?

unanipandisha mihasira, naomba usinipigie wala usinitext hadi moyo wangu upone.
 
Ntaipeleka wapi dear? Nacopy tu hapa hapa na kupaste.....lol!! Btw, inaendelea au hapo ndo mwisho wake?

weee ijikute tu inaishia hapo ina muendelezo nitauweka hapa kesho. Usikopi bila ruhusa ya mtunzi utashangaa sehemu unapokopia panayeyuka lol
 
weee ijikute tu inaishia hapo ina muendelezo nitauweka hapa kesho. Usikopi bila ruhusa ya mtunzi utashangaa sehemu unapokopia panayeyuka lol

Hahahahaa.....basi nitaikariri tu lol!! Nasubiria kwa hamu huo mwendelezo, napenda saaana poems mie! Unajua mchana nilikuwa najikumbushia kusoma poem ya 'I love you my gentle one' .......sasa nilipofungua na huu uzi nikakuta such a nice poem, mwenyewe nikafurahiiii....lol!
 
Hahahahaa.....basi nitaikariri tu lol!! Nasubiria kwa hamu huo mwendelezo, napenda saaana poems mie! Unajua mchana nilikuwa najikumbushia kusoma poem ya 'I love you my gentle one' .......sasa nilipofungua na huu uzi nikakuta such a nice poem, mwenyewe nikafurahiiii....lol!

nimeshukuru kusikia hivyo sasa hapa kwa poem ndo nyumbani. Ukae mkao wa kula,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom