Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,550
- 1,166
- Thread starter
- #241
Ricky darlin mafua yamenibana..
mnaishi kwenye vumbi sana mwambie bwana'ko mtoke huko mabondeni jamani pyaaa
Ricky darlin mafua yamenibana..
Jamani Bby wangu....pole sana....hiyo ni dalili ya kunimiss usijali utapona eehRicky darlin mafua yamenibana..
mnaishi kwenye vumbi sana mwambie bwana'ko mtoke huko mabondeni jamani pyaaa
Jamani Bby wangu....pole sana....hiyo ni dalili ya kunimiss usijali utapona eeh
mnaishi kwenye vumbi sana mwambie bwana'ko mtoke huko mabondeni jamani pyaaa
Sio mafua ya vumbi kaby.. Allergy!
Weee si tunaishi katikati ya jiji km wahindi...
Tuko juu
Thanx hun.. Halafu umejuaje nlivyokumiss.. Kaby mgomvi unamuona eh? Mi leo nipo kimya hata staki maneno.
Teh halafu alinambia anakuja huku leo...hope alipolipa deni la Ashadii akaishiwa nauliThanx hun.. Halafu umejuaje nlivyokumiss.. Kaby mgomvi unamuona eh? Mi leo nipo kimya hata staki maneno.
mwanzo huwa ni mtamu kweli...
Hahahaaa huko kwa Lizy....naona umeanza kumchokoachokoa...utani huu nomaaaajuu ipi hiyo,unga limited??
aisee pole sana, mr.ricky kakulisha nini? Hajui hata mkewe ana allergy na kitu gani pole sana dia wangu utapona eeh
mwanzo huwa ni mtamu kweli...
Dah hiyo perfume haikuwa na tbsThanx kaby.. My ricky anajua nna allergy ya nini.. Leo nimekumbana na perfume ya ajabu na kali.. It got me sneezing mpaka kizunguzungu..
Teh halafu alinambia anakuja huku leo...hope alipolipa deni la Ashadii akaishiwa nauli
Najua una experience ya mwanzo mzuri na sasa mambo yako yameenda sendemaa...ngoja tutakusaidia...
Mi na bby wangu raha mwanzo mwisho....
Hahahaaa huko kwa Lizy....naona umeanza kumchokoachokoa...utani huu nomaaaa
Now as i sit up on my bed
An image of you is in my head
You give me a reason to live
Without you the happiness i will never achieve
The way you kiss,your touch is soft and devine
I want you to forever be mine
Infront of everyone here my love i declare
To hurt you i will never dare
Because I love you
ooy yes Baby I do.
Thanx kaby.. My ricky anajua nna allergy ya nini.. Leo nimekumbana na perfume ya ajabu na kali.. It got me sneezing mpaka kizunguzungu..
Dah hiyo perfume haikuwa na tbs