Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,841
- 33,235
Anabusu kware badala ya kubusu mtego ulionasa kwaredah...nchi hii naipa pole. Jinsia yake tu ndicho cha maana ulichoona hata awekwe kwenye sarafu....uwe na adabu, kilichomfanya Samia awe rais si jinsia yake.