Ni babu tale sio yeye jamaniUmewaza siku nzima ikakujia ushushe uzi usiokuwa na kichwa.
Badala ya kuwaza yajayo na kizazi cha mbeleni unaleta riwaya!!
Katiba katiba suluhu ya yote haipingiki.
Ni babu tale sio yeye jamaniUmewaza siku nzima ikakujia ushushe uzi usiokuwa na kichwa.
Badala ya kuwaza yajayo na kizazi cha mbeleni unaleta riwaya!!
Katiba katiba suluhu ya yote haipingiki.
Kwani Babu Taletale wewe humfahamu kama ni mbunge?Nimetafakari post yake naona tozo iendelee mpaka akili zirudi. Kizaz cha kijinga sana. Na huyo mtaani kwao unakuta ni kiongoz
Umeshasikika, hongera na jitahidi kunywa maji na bagia bila kusahau urojo wa Dk. Mizinguo pale ugokoni streetNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
kwa hiyo kusoma kwako kote na katika ukoo wako wewe peke yako ndiyo unahesabiwa msomi, umeona Salim Mwalimu anafaa kuwa rais?.....inaonekana ulivyohitimu chekechea ukadhani umehitimu chuo kikuuAcha ubaguzi ulitaka ndugu yako Salim mwalimu ndio awe rais
USSR
Ubunge wa kupewa shida sana...Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
uvccm wanafanya yao, ndiyo matunda ya freedom of expressionSiku hizi JF imekuwa ni uwanja maarufu sana wa wajinga wa kufanya maonyesho ya kuonyesha ujinga wao.So sad!
Ni kweli hii ya saizi ni ya Mwendazake,yeye ataanza rasmi 2025Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
huyu ataropoka sana bungeniNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Haya wala sio mawazo cha chawa taletale, yeye katumika kama spika tu. huu ni mpango wa serikali ya hangaya kama ilivyokuwa kwenye tozo walivyomtumia yule jamaa yaoNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
Tumekuwa ni Taifa la Zero IQ.dah...nchi hii naipa pole.
Mkuu naona umeamua kuni follow - unataka kunipa kadi ya lumumba nini?Naunga mkono hoja,
USSR
dah...nchi hii naipa pole. Jinsia yake tu ndicho cha maana ulichoona hata awekwe kwenye sarafu....uwe na adabu, kilichomfanya Samia awe rais si jinsia yake.