GE2025 Babu Tale akipika Mrenda baada ya kushinda Kura za Maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini, Mashariki

GE2025 Babu Tale akipika Mrenda baada ya kushinda Kura za Maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini, Mashariki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Babu Tale akipika ugali na mrenda, muda mfupi baada ya kutoka kwenye ofisi za chama Mvuha, siku moja baada ya kushinda kura za maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini Mashariki kwa kupata kura 5,318 dhidi ya Omar Tebweta Mgumba aliyepata 1,310.

 
Babu Tale akipika ugali na mrenda, muda mfupi baada ya kutoka kwenye ofisi za chama Mvuha, siku moja baada ya kushinda kura za maoni Jimboni Morogoro Vijijini Kusini Mashariki kwa kupata kura 5,318 dhidi ya Omar Tebweta Mgumba aliyepata 1,310.

Hawa vilaza wanapita pita vipi mbona ni WEUPE sana upstairs? Au wanahonga sana?
 
Akiwa anajishebedua kwenye kipinduli kimoja kwenye tv alisema hajui hata kufua boxer. No wonder anapinduapindua shingo kama DAME
 
Katiba mpya ni kipaumbele cha kwanza kuondoa wahuni wote!
 
Kwan CCM WANASHIDA GANI MBONA VITU VYA KIJINGA SANA JION HÌII NIMEKAAA NA DIWANI MSTAFU ANASEMA SHEMEJI YAKE ALIKUWA ANAGOMBEA UBUNGE KAPOTEZA MILLION 600
 
Back
Top Bottom