king mario
Member
- Mar 15, 2014
- 76
- 9
Kwahiyo ukiwa na mpenzi wako utamchukulia kama work mate au? Hata kama ubahiri siyo huo bana.
Mpelekee mrembo popcorn acheck movie amalizie long weekend hii.
team kulalamika at work lol. Kama wamuona wanini wenzio wanasema ntampata lini
Akuu mbona yeye akitaka papuchi anapata?
Aaah kabisa shost, waache zao hivi vitu hata watoto wa sekondari wanaafford. Je wakipigwa mizinga ya maana si mtu anahama mkoa sijui nchi.
waambie haoVitu vidogo vidogo kama hivyo vinataka mtu ambae teyali ameshajikwamua kimaisha na sio yule ambae anatafuta njia ya kujikwamua! Mtu mwenye malengo razima atajitoa ktk mahusiano taraatibu, kuna faida gani ya kula popcorn,ice cream, kuchek movie alafu mkimaliza mnapanga foleni kugombania dala dala! So sio kama hatupendi ila sio muda mwafaka
Dear You know that my Mu-sir can't let me down. Tayari nabadili gia tu.
But si unajua tena hierarchy of needs...
Hahaha... Dats my gal.. sasa kama unavyojua mjini mashauzi yanahitaji pesa sasa omba mtaji wa $50,000 si unajua mabo ya vitega uchumi tena uwekeze au sio najua shem wangu #Mu-sir hatokulet down kwa huli pia au sio shem?
I can not afford to let my sweet quen down. Hatokaa akose furaha akiwa na mimi
Hahaha... Dats my gal.. sasa kama unavyojua mjini mashauzi yanahitaji pesa sasa omba mtaji wa $50,000 si unajua mabo ya vitega uchumi tena uwekeze au sio najua shem wangu #Mu-sir hatokulet down kwa huli pia au sio shem?
kwahyo bwana wako unampgaga mizinga
Wala wasichana wa kimarekani hawapo hivyo mkuu ni ushamba na kuiga.. Maisha ya kwenye tv ya akina kim.. Wakati wao wanaonesha ili wapate hela.. Wasichana wa kimarekani wanasoma na kufanya kazi kwa nguvu..ndo maana hata wakati mwingine ukizingua wanakuacha na wanalea watoto as single mom.. Hawaogopi maisha mkuu"Babe unaweza kuniletea
popcorn...babe i want to
go movie kesho...babe on
saturday i need to go
swimming...babe in the evening
lets go
Marrybrown..."
heeeee
Mungu wee hawa
wasichana wa Kimarekani
waliokosea njia wakazaliwa bongo
fanya mpango wote wapate viza
wakaishi Marekani utuondolee
usumbufu.
makubwa!
Si zinalipiwa service charge! Ama...
hahahaa c unamwambia akale ugali nyama ndo atashiba vizuri...simple!!