Baba yangu aliniambia hanikumbuki, niliumia sana

Baba yangu aliniambia hanikumbuki, niliumia sana

Alikuruka kulinda ndoa yake, ungekuwa umemfuata kazini mchana, angekupokea ila asingekupeleka kwa mkewe, mngemalizana kiume na nduguzo ungewajua, lakini bado una nafasi. Mfuate tena ila pitia kwa rafiki yake wa karibu, usiende direct.
Je yupo hai mpaka sasa?
 
Mshukuru Mungu kukuonesha ukatili wa baba ili usimtumainie yeye. Anza sasa kumtumaini Mungu badala ya mwanadamu. Aidha, msamehe baba yako na huenda kuna siku atakuja kukuomba msamaha na kujuta kukukataa.

Nakupa pole na kukutia moyo usonge mbele kwa kutumia vipaji alivyokupa Mungu kusaka maisha bora, si lazima usome ili ufanikiwe kimaisha.
Yaaani mtu afanye kosa la makusudi ajue kuna msamaha huo ni upumbavu

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
 
Alikuruka kulinda ndoa yake, ungekuwa umemfuata kazini mchana, angekupokea ila asingekupeleka kwa mkewe, mngemalizana kiume na nduguzo ungewajua, lakini bado una nafasi. Mfuate tena ila pitia kwa rafiki yake wa karibu, usiende direct.
Amfwate wa nini Baba mwenye dalili za kuwa na upungufu wa akili stupid kabisa huyo mzee

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Mungu namjua na mimi si mtu wa chini kama unavyodhani. Uwe mpole na mnyenyekevu kwa mtu usiyemjua. Lakini hata kwa unaowaona watu wa chini wape heshima. Heshimu utu wa mtu na si vitu vya mtu!
Walokole mnachukuliaga matatizo ya watu simple sana. Halafu unakuta wewe mwenyewe hata soksi ya 200 ilikuwa inakushinda kununua unakimbilia kwa baba au mama. Ila mkionaga mtu anapitia hali ngumu na depression mnajifanya mnaijua sana dini.

Mungu ana kanuni zake na mzazi ana majukumu yake.
 
Ni kweli Mungu ndiyo baba yangu, hata sijui mama alimkosea nini nakumbuka hata rafiki wa mzee alikuwa akipita home na kutusalimia
Sina hakika kwasasa una umri gani but kwakua na wewe ni mtoto wa kiume utakuja yajua haya mambo baadae; laiti ungemfata mzee kazini kwake hili wala lisingetokea, hujui huyo mzee alifanywa nini na mkewe huko chumbani, huenda hadi kadi ya bank alinyang'anywa. Mengine ni siri ya kambi tu, otherwise Mungu atakusaidia jipe moyo
 
Walokole mnachukuliaga matatizo ya watu simple sana. Halafu unakuta wewe mwenyewe hata soksi ya 200 ilikuwa inakushinda kununua unakimbilia kwa baba au mama. Ila mkionaga mtu anapitia hali ngumu na depression mnajifanya mnaijua sana dini.

Mungu ana kanuni zake na mzazi ana majukumu yake.
Sasa kama mzazi amesema hamkumbuki na kumpeleka kabisa stendi ili asimuone tena unataka mlokole amshauri mleta mada akamloge huyo mzee ili amkubali?
 
SIna hakika kwasasa una umri gani but kwakua na wewe ni mtoto wa kiume utakuja yajua haya mambo baadae; laiti unngemfata mzee kazini kwake hili wala lisingetokea, hujui huyo mzee alifanywa nini na mkewe huko chumbani, huenda hadi kadi ya bank alinyang'anywa. Mengine ni siri ya kambi tu, otherwise Mungu atakusaidia jipe moyo
Mkuu sasa nimeshakuwa mtu mzima na nipo na family yangu na pia namshukuru Mungu mambo yanaenda vizuri.
 
Kaka ndugu zako watakukubali ukiwa kwenye status nzuri ya maisha. Haya maisha sometimes hayapo fair. Ww tafuta pesa ipo siku watakutafuta wao. Haupo pekeako unaepitia haya kwahio usichukue mrengo wa kuliona kama tatizo kubwa ama kizingiti. Mm najua watu wengi ambao wametafutwa na Baba zao tayari wakiwa na zaidi ya miaka 30 ama 40. Tayari wakiwa na maisha mazuri sana..
Wewe umesema ukweli.
 
Ni kawaida hiyo ilikuwa nguvu ya mama wa kambo.

Mi kama mimi naona sasa umekuwa mkubwa, Mungu amekushika mkono hadi hapo ulipo.

Mzazi atabaki kuwa mzazi tu. Hebu chukua jukumu la kumtafuta tena.

Sasa umeshakuwa, hebu mfuatilia hata upate neno moja kutoka kwake ili na wewe moyo wako utulie.
 
Inategemea mtoto alizaliwa lini,kama nilizaa mtoto kabla sijaoa,huyo mtoto ana kosa gani?? Hapa siwezi hata kuangalia usoni! Mtoto atabaki kua mtoto tu

Kama nimezaa mtoto,nikiwa ndani ya ndoa hapo sawa,naweza ficha ficha!
Unamficha nani na mtoto ni wako
 
Baba yako dhaifu sana anakataa mtoto kwa ajiri ya make? Kuna jamaa yangu aliletewa mtoto gafla na mchepuko mke akagoma jibu alilotoa akwamwambia huyu mtoto kwao ni hapa wewe si una kwenu hadi Leo mtoto yupo pale
 
Mkuu Ngoja Nikupe hii!!

Mimi kuna Bamdogo wangu!!! Aliwahi mkataa mwanae!! Nadhan ilkua wa ujanan!!!!

Dogo alivomaliza darasa la saba sekondary ikawa ngum kusoma...ndipo mama yake akamleta kwa Bamdogo!!! Dhumun ilkua Elimu tu!!! Ikbid bording!!!

Uwez amin bamdogo alimkataa dogo amjui kabisaa....lakin ukichek sura ni copy mpka lipua yaan!! Daah;!

Ndipo Baba Angu Ambaye ni kaka yake!!! Akamchukua dogo!!kumbuka bamdogo Alikua Vizur kiuchumii ni basi roho yake tu:


Hivi navosema Dogo Alimaliza form six!! Na Amepata Scolarship!! Yuko U.s.a Mwaka wa pili huu!!!! Naye anamkataa baba ake anasema baba ake mkubwa ndo baba ..[emoji23] kibaya zaid baba ake!! Alikosa kazi kipind cha watumish hewa ...alikuwa dereva maliasili......

Kwahyo..tunalitazama picha tu:
 
Huo ni udhaifu wa Baba . UtamuogopaJe mkeo kiasi hicho mpaka ushindwe kuzungumza na mwanao ?! Ndiyo maana nayakubali makabila ya kwetu Tarime . Mwanamke hawezi kuleta fujo kwenye mambo haya.

Huyo mbaba ni weak
 
Kwahiyo ndo umeamua uniletee mwanaharamu humu ndani eti?,nasemaje nitoke Mimi niondoke zangu nikuache na huyu mwanaharamu humu ndani au atoke yeye nibaki Mimi,afe yeye nibaki Mimi au Mimi nife abaki yeye heeee we mwanaume wewe umenidharau sana aiseee aggghhhh!
(Alisikika mama ako wa kambo akigombana na baba ako chumbani)

Mzee akaona isiwe shida bora urudishwe ulikotoka tu daaaaa pole sana mkuu wangu ila zote ni harakati za maisha tu ila msamehe mdingi japo aliamua kukukazia mazima ila amini hakua yeye kuna kitu nyuma ya pazia
Maana familia zetu waafrika tunazijua wenyewe kisa chako kinafanana na wengi sana sana nikiwemo Mimi ,


Nadanganya wadau?
 
Huo ni udhaifu wa Baba . UtamuogopaJe mkeo kiasi hicho mpaka ushindwe kuzungumza na nwanao ?! Ndiyo maana nayakubali makabila ya kwetu Tarime . Mwanamke hawezi kuleta fujo kwenye mambo haya.

Huyo mbaba ni weak
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ni kichapo tu
 
Back
Top Bottom