Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,583
Mbowephobia.Mbowe alisema wakiongea hao waliomteka watammaliza kabisa...
Mbowephobia.Mbowe alisema wakiongea hao waliomteka watammaliza kabisa...
aah!!!!Hivu unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?
Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Hivu unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?
Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Acha kuisanifu familia kwa sababu siyo wewe wala wazazi wako yaliyowakuta wazazi na watoto wa Ben ndio maana unakuja na maneno ya kunya kama haya, pumbavu.Hivu unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?
Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Mkuu uwe na heshima na familia za watu...hasa kwa magumu waliyopitia sidhani kama ni jambo la kheri kwa hichi ulicho andikaHivu unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?
Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Mkuu uwe na heshima na familia za watu...hasa kwa magumu waliyopitia sidhani kama ni jambo la kheri kwa hichi ulicho andika
Muda mwingine ni vyema kuuliza kwanza kwa aliye karibu yako kabla ya kupost na moderator,sio vizuri kuruhusu nyuzi kama hizi zinazo dhihaki familia za watu
Mkuu wangu
Laana unayojitafutia hapa
Sidhan kama utanusurika
Hivi mnafikiria. Nn
Hoja yake ni ya msingi sana.huwez potelewa na mtoto then wanaokuwa wanapiga kelele ni majirani na wewe upoupo tu.Huoni bavicha wa jf ndio wanauchungu sana kuliko baba ake au ndugu zake?Huoni kila mtu anataarifa tofaut kuliko saanane?Wewe jamaa hizi nyuzi zako zinakera kuliko wanawake wauza miili wanavyokereka zinapowadia siku zao.
Kama hujawahi kukutwa na tukio kama hilo nyamaza acha kuongea na mdomo wa chini unaopitisha (chakula taka)
Mimi nasema hivi na wewe unajibu vile...poa hamna shida ila najui umeelewa sanaNa ndo maana nashangaa, mimi kama ningekuwa na mtoto tena ambaye ni maarufu halafu akapotea nisingekaa kimya, hapo ndipo panaponishangaza, lkn watu tuko tofauti hata hivyo
Hujapata kufuatilia mada zake zilopita.Hoja yake ni ya msingi sana.huwez potelewa na mtoto then wanaokuwa wanapiga kelele ni majirani na wewe upoupo tu.Huoni bavicha wa jf ndio wanauchungu sana kuliko baba ake au ndugu zake?Huoni kila mtu anataarifa tofaut kuliko saanane?
Mimi nasema hivi na wewe unajibu vile...poa hamna shida ila najui umeelewa sana
Yani hawa jamaa aliyewaroga analaana sana.Wao wamekarrshwa ni serikali na hairuhusiwi kuhoji nje ya hapoKosa langu lipi hadi unipe laana? Kwani B.Saanane siyo mtu maarufu kwamba haturuhusiwi kuhoji? Kwa nini sasa mlileta habari za kupotea kwake na kuzitangaza?
Mleta mada hujaitendea haki familia ya Ben Saanane.Hayakuhusu
Hivi unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?
Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Huyo wamempeleka kusoma vijijini huko urusi wanazuga kapotea.Hivi unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?
Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Mkuu Barbarosa, uwe unajisomea na kutafiti kabla ya kuandika hapa. Unadhalilisha sana wanawake wenzako. Hebu jisomee hapa:BABA WA BEN SAANANE ASEMA WAMEGONGA MWAMBA | Mtanzania. Halafu, usilete kejeli na utani kwenye Maisha ya watu.