Baba yake Ben Saanane aiangukia serikali

Baba yake Ben Saanane aiangukia serikali

Mkuu hawa Chadema ili kumpata Mkuu Saa8 ni vizuri waombe ushauri kwa Halima Mdee.

Nguvu ya Umma Haijawahi shindwa.

Kawashauri Simba wako wanajianda kuufanyia kazi ushauri
Unataka kujua ilichukua hatua gani kama nani? Nimeleta habari bado unasema uzito wa mzazi ni mdogo ulitaka familia ichome moto vituo vya polisi ujue kuwa mzazi wa Ben ana hasira?
 
Hivi unaweza kweli kupotelewa mtoto wa kuzaa kwa muda wote huo na usiseme chochote popote pale?

Uchungu wa mwana uko wapi hapo?
Watembee KG au S'WANGA wakapige kombora ukoo mzima usambaratishwe
 
Hatuna la kufanya zaidi ya kumuomba Mungu,” alisema mzazi huyo.
 
Back
Top Bottom