MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
We ni muhuni wa kawaida tu.Ningekuwa mpelelezi ningemkamata Mbowe anisaidie
Ningemuuliza ifuatayvyo
1.Ile safari aliompangia kwenda south africa ilifanikiwa?na alipangiwa kwenda kufanya nini
2.Ni lini aligundua Ben hayupo kazini na alichukua hatua gani
3.Watu 50 waliopelekwa porini bagamoyo walienda kufanya nini
4.vyeti alivyokuwa anagawa mashinji porini ni vya mafunzo ya kufuga kuku au ugaidi?
5.Kwa nini mashinji ametoa waraka kuwakataza Red brigade wasizungumzie wala kuulizia kupotea kwa Ben
Hoja ulizoziandika hapo wala hazihusiani na kutoweka kwa Ben saanane.
Baba mzazi anamtafuta mwanawe halafu wewe unaleta porojo zako hapa?