Ningekuwa mpelelezi ningemkamata Mbowe anisaidie
Ningemuuliza ifuatayvyo
1.Ile safari aliompangia kwenda south africa ilifanikiwa?na alipangiwa kwenda kufanya nini
2.Ni lini aligundua Ben hayupo kazini na alichukua hatua gani
3.Watu 50 waliopelekwa porini bagamoyo walienda kufanya nini
4.vyeti alivyokuwa anagawa mashinji porini ni vya mafunzo ya kufuga kuku au ugaidi?
5.Kwa nini mashinji ametoa waraka kuwakataza Red brigade wasizungumzie wala kuulizia kupotea kwa Ben
Ningemuuliza ifuatayvyo
1.Ile safari aliompangia kwenda south africa ilifanikiwa?na alipangiwa kwenda kufanya nini
2.Ni lini aligundua Ben hayupo kazini na alichukua hatua gani
3.Watu 50 waliopelekwa porini bagamoyo walienda kufanya nini
4.vyeti alivyokuwa anagawa mashinji porini ni vya mafunzo ya kufuga kuku au ugaidi?
5.Kwa nini mashinji ametoa waraka kuwakataza Red brigade wasizungumzie wala kuulizia kupotea kwa Ben