Ushauri wangu utakuwa mbaya kdg,,, nahisi kama ibilisi anataka kukupeleka kusiko.......kwanza kabisa ilikuwaje ukampenda then leo uje hapa kuomba ushauri??mshafanya uasherati mpaka shetani anawashangaa.....pili unakubali mwenyewe kuwa na msukumo wa kuachana nae, coz of those bad memories ulizo nazo....ukamuacha then umemrudia....shetani anazidi kukuzogeza karibu na mauaji usiyotegemea.....tatu familia yako inajua nini kilichopo kati ya familia zenu, na mafarakano yataibuka upya utakapomtambulisha kwenu......nne najilazimisha kuamini kuwa unaweza kujikuta ktkt hali ya kulipiza kisasi bila kutegemea....damu ya baba yako inakulilia na itakulilia wewe........jichunge hata usimjaze mimba......na achana nae.....shetani atakuheshimu kwani umemshinda mbinu zake......