Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,310
- 40,588
Mtoto wa nyoka ni nyoka mtoroke huyo
Hapana kisasi ni cha Mwenyezi Mungu, mimi siwezi kuua, na unaona watu wengi huku wanashauri niachane na huyo binti kwasababu tu mmoja wa mwanafamilia ameua?Uzuri unafahamu aliyekatisha uhai Wa Mzee wako na inawezekana yuko mtaani anakula maisha, ushauri wangu kama unauchungu na Mzee kweli hakikisha unalipiza kisasi kwanza hata yy aliko atatambua kuwa nilizaa jembe, maana roho ya Mzee inasononeka huko aliko kwa nn wanangu hawalipi kisasi, kama ni dhambi zipo tu ila MTU asicheze na maisha ya familia,aliwarudisha nyuma, muliishi kwa kusononeka , visasi vingine tuvimalize tukiwa hapa duniani, mizigo mingine tusimwachie muumba ikiwa tunauwezo Wa kuimaliza, pambana naye aondoke ndo uwaze masuala ya ndoa.
Allah Akbar! We shall overcome!Sikushauri kabisa watu wana sema et mchumba hana kosa lakin familia yake ndio iliyotenda hilo kosa na unapooa unaunganishwa na uko mzima wa hiyo familia, sasa kaa saiz tu ukimuona unapata huzuni na pia umefanya majaribio kadhaa kutaka kumuacha hiyo ni ishara tosha kuwa hata wewe unaona uzito juu ya hilo dhambi ya kuua hufuatilia usijekuta na ww unauawa, achana naye ndugu yangu
Au nimfungulie mashataka? Maana haki ndio iliyonisukuma kusomea Sheria?Kama nikweli unavyosema Hata ulikua huitaji ushauri mkuu ungemalizana nae long time ago,hata ukimwambia hujui utaleta vita BARIDI huyo msichana wako ataanza kulia nakusema kua ni sababu ya Baba mdogo amemua Baba wa mchumba wangu ndio mana amenikata sasa unataka na huyo Baba mdogo akufukuzie na wewe sababau ukweli umeshaujua kua amemua mzee wako? Mkuu sioni sababu ya kutafuta shari kama salama ipo,jiepushe mtu akiwa muuwaji kila anapokaa anawaza huuwa,am sure unataka kuacha jinala mzee wako liendelee kuwepo na kutimiza ndoto zake achana na huyo mdada wala usiwe sababu ya kumpa wewe hutokua wa kwanza kumuwacha mwanamke wala hutokua wa mwisho..
Mwenyezi Mungu anatosha Kushtakia Mkuu yeye ndio anaijua kweli kwa yote yate yalio tokea na mfanyaji,najua sio rahisi kumuona Adui yako yuko uhuru lakini still huna kithibitisho chakutosha lakini utakapo mpa mwenyezi mungu kilio chakoAu nimfungulie mashataka? Maana haki ndio iliyonisukuma kusomea Sheria?
mwe! vajameni!Samehe ila kama huwez bhas muue mtoto wake ambae ndio mchumba wako ili kulipa kisas.
Kwa upeo wangu, sioni kama jamaa yupo tayari kusamehe na kusahau. Naogopa na huwa nikiogopa basi jambo la kuogofya huenda likawakumba. Kwanza, ndugu wote watampinga na akilazimisha kuoa basi atatengwa kitu ambacho si kizuri kwake. Pili, mwenyewe anakiri kuwa anakumbuka mara kwa mara namna baba yake alivyokufa na sidhani kama kumbukumbu hizo zitafutika kichwani mwake kamwe.kifo cha baba yako hakitaleta amani kwenye ndoa yenu labda uamue kusamehe wewe mwenyewe na usamehe kweli.. ila sababu baba yako kifo chake kiliumiza wengi hao wengine watageuka chachu kwenye ndoa yenu kwa namna moja au nyingine .. ushauri wangu mueleze ukweli huyo binti na mwache aendelee na maisha yake sababu hata ndugu zako kufanya utaratibu wa ndoa italeta mushkeli kidogo na kuleta mtafaruku
kabisa ana abadilishe mtizamo sasaKwa upeo wangu, sioni kama jamaa yupo tayari kusamehe na kusahau. Naogopa na huwa nikiogopa basi jambo la kuogofya huenda likawakumba. Kwanza, ndugu wote watampinga na akilazimisha kuoa basi atatengwa kitu ambacho si kizuri kwake. Pili, mwenyewe anakiri kuwa anakumbuka mara kwa mara namna baba yake alivyokufa na sidhani kama kumbukumbu hizo zitafutika kichwani mwake kamwe.
Aepuke tu kujihusisha na binti huyo. Kama mapenzi au ndoa ni furaha, basi hayo au ndoa yake hiyo haiwezi na haitakuja kuwa na furaha daima.
Da we jamaaSamehe ila kama huwez bhas muue mtoto wake ambae ndio mchumba wako ili kulipa kisas.
Umesema umesoma sheria, unamfungulia mashtaka kwa ushahidi gani?Au nimfungulie mashataka? Maana haki ndio iliyonisukuma kusomea Sheria?
Mkuu nashukuru kwa busara zakoMwenyezi Mungu anatosha Kushtakia Mkuu yeye ndio anaijua kweli kwa yote yate yalio tokea na mfanyaji,najua sio rahisi kumuona Adui yako yuko uhuru lakini still huna kithibitisho chakutosha lakini utakapo mpa mwenyezi mungu kilio chako
niamini hatokuangusha,huko kwengine nikujitafutia uwadui kwani hujui nani ni mwema wako na dunia ya leo baadhi ya watu wengi imani imewatoka wanauza utu wao kwa kitu kidogo tuu,ningekua wewe Ningelia kwa mungu usiku na mchana
anilipie na humtaji mtu kua ni fulani la hashaa,kwanza ujue kua ikiwa mwenyezi mungu hajataka lolote likufike basi halikufiki
omba kwa mwenyezi mungu ikiwa ni kwa utukufu wako mwenyezi mungu basi nipe subra niweze kuhimili na umpe makazi mema peponi mja wako,ikiwa ni jengine lolote basi mwenyezi mungu wewe ndio hakimu wa haki usie lala wala usie sinzia na unaposema kua basi hua ...