Sitaki kuamini eti miaka sita bila bila, unataka tukuone msafi au???
Hilo halinihusu ila namuonea huruma huyo binti ambaye hutaki kumwambia ukweli miaka yote hiyo, we unaujua ukweli halafu unakaa kimya huku ukijua kuwa malengo yenu hayafiki mbali.
Mpaka sasa hamna uhakika na kifo na baba yenu ndo maana hamkufungua kesi miaka hiyo, ni ya kufikirika tu halafu moja kwa moja unambebesha lawama mtoto wa watu.
Kama kweli unampenda sikiliza moyo wako, hayo mambo ya ukoo madhabahu huwa yanavujwa kwa damu ya Yesu, ardhi yenye laana huwa inabomolewa kwa damu ya Yesu na ardhi inatakasika. Ni imani yako tuu na sala