Baba wa mchumba wangu alimuua baba yangu

Baba wa mchumba wangu alimuua baba yangu

Inaonekana ukimuona huyo bint huwa unakumbuka kifo cha baba ako.Mtu unaetaka uishi nae had kifo kiwatenganishe ndo huyo anaekukumbusha baba ako.So,akil kichwan mwako
Pole sana kwa tatizo hilo.Hiyo iko wazi huyo si mke wa kuoa tena mkosi umeshaingilia katikati.Hata ukilazimisha kuoa huwa inatokea coincidence mkeo anaweza kja kukufanyia kitu kibaya hata kupelekea kugharimu maisha yako.Kwa vile umesha sita kwa kutambua tendo lililotokea huko nyuma ni vizuri ukaachana na huyo binti na kutafuta mke mwingine.Ni ushauri tu jamani.
 
Love is absent of Judgement.....
Upendo hufunika yote.... ila kama ni kweli unampenda kwa dhati hilo halina shida.... hata hivyo baba mdogo ni wa mbali kwa familia yake na yenu mkioana
 
Wewe usidanganyike wanao kwambia huyo binti hana makosa waongo kabisa! Na hawana uzoefu wa masuala ya kindoa yaan maisha ya ndani mke na mme,

Huyo binti achana naye kabisa! achana naye kabisa! achana naye kabisa!,

Ukilazimisha utakuja kujuta mbeleni na utakuja kufanya maamuzi magumu ambayo yatagharimu maisha yako na familia yko kwa ujumla.

Kumbuka kwa sasa tayar umeshaathirika na lile tukio la baba yako never haliwez kufutika kichwan na ni suala la kawaida kukumbuka huwez kuizuia akili et isikumbuke.
Ni ngumu ndg yngu achana naye
Utaishi kwa Amani kuliko ukiwa naye
 
Tell her the truth if seeing her is a corner point of remembering what happened between your daddy n her uncle and how it keeps you tortured. Mufikie muafaka wa amani tena wa makubaliano maana mmetoka mbali na mtakuwa mshafanya mengi pamoja na ahadi nyingi zenye matumani.
Usije chukua uamuzi wa kumuacha bila kumwambia maana utamuumiza sana coz mpaka sasa hujajua je ataegemea upande wako au wa baba ake mdogo.
 
Hapo kuna mchezo unachezwa hasa na familia ya huyo mchumba wako! yawezekana kweli huyo msichana hajui,ila familia ina malengo yake...
 
Unakwenda kuwa mwanafamilia wao ukimuoa huyo binti sasa ujue kuwa huyo baba aliyemuua baba yako atakuja kwenu either kuwasalimia au kupata chakula.
Swali ni je unajua atakapokuwa anakula na wewe mezani atakuwa amekuja na nini cha kukuangamiza? Unajichimbia kaburi brother kaa mbali kabisa.
Kinyongo kipo na mapenzi yapo so tafuta mwengine hao hawafai hata kwa dk moja kwani damu ni damu tu na thaman yako kwa mkeo haifanani na ya baba yake
Epuka uzoba wanawake wapo wengi oa utulie na ujifunze kusema basi ukichoshwa
 
Alimuua baba yako tena unalifahamu kabisa, halafu unataka kuoa,
hapana, kimila wanasema ni mwiko;
na endapo utadharau yatakayokukuta utajuta;

Mwache kabisa, huyo ni adui yako wa damu.
Hapa ndipo ninapokupendeaga we mama yaani huwa hutaki kukwepesha hata kidogo.
 
Mueleze ukweli mtupuuuu ili ajue na wewe jaribu kushirikisha ndugu zako wa karibu juu ya mahusiano yenu kama njia ya kupata ushauri. Ila kwa mtazamo wangu naona kumuowa huyo binti itakuwa ngumu japo binti wa watu hana hatia yoyote.
Nitazingatia ushauri mkuu
 
UNAJIINGIZA KWNEYE KITU KITAKACHOKUTESA MILELE!

hapo tu hamjavalishana pete dhamira inakusuta!
ukija kuvalishana nae na ndoa je?
NDOA ZINA MENGI,MIONGONI MWAO NI MAPUNGUFU YA KILA MMOJA!
HILI LA BABA YAKO KUFA UKIAMINI AMEULIWA NA FAMILIA HIYO HALIJAKUTOKA NA KIMSINGI HALITAKUTOKA MILELE!,
acha kujifungamanisha nao!

HATA NINGEKUWA MIMI!
Ahsante madam kwa ushauri
 
Wewe usidanganyike wanao kwambia huyo binti hana makosa waongo kabisa! Na hawana uzoefu wa masuala ya kindoa yaan maisha ya ndani mke na mme,

Huyo binti achana naye kabisa! achana naye kabisa! achana naye kabisa!,

Ukilazimisha utakuja kujuta mbeleni na utakuja kufanya maamuzi magumu ambayo yatagharimu maisha yako na familia yko kwa ujumla.

Kumbuka kwa sasa tayar umeshaathirika na lile tukio la baba yako never haliwez kufutika kichwan na ni suala la kawaida kukumbuka huwez kuizuia akili et isikumbuke.
Ni ngumu ndg yngu achana naye
Utaishi kwa Amani kuliko ukiwa naye
Daaah thanks mkuu
 
Tell her the truth if seeing her is a corner point of remembering what happened between your daddy n her uncle and how it keeps you tortured. Mufikie muafaka wa amani tena wa makubaliano maana mmetoka mbali na mtakuwa mshafanya mengi pamoja na ahadi nyingi zenye matumani.
Usije chukua uamuzi wa kumuacha bila kumwambia maana utamuumiza sana coz mpaka sasa hujajua je ataegemea upande wako au wa baba ake mdogo.
Oops I feel like it may terrorize her mind for sure, uuuuh my God how can i dare to tell such malicious and misfortune of her dad??
Nooooh i love that girl i wont let her feel down!
 
Ukimweleza yaliyotokea ataenda kumweleza yule baba yake mdogo na reaction huyo baba yake mdogo kwako haitakuwa na tofauti na ile ya marehemu baba yako. Achia ngazi ki utu uzima bila kumweleza kitu.

Kwa kifupi ukioa huyo binti basi ujue umeingia kwenye mdomo wa simba. Kwanza huyo baba yake mdogo ni mgomvi - kupiga watu barabarani, halafu ni muuwaji - kuua baba yako mzazi. Sasa atashindwaje kukushughulikia na wewe? Je, akisikia unataka kumuoa binti yao atalichukuliaje hilo?
 
Hapo kuna mchezo unachezwa hasa na familia ya huyo mchumba wako! yawezekana kweli huyo msichana hajui,ila familia ina malengo yake...
Allah Akbar! Can it be possible? Hu hu hu God protect me
 
Unakwenda kuwa mwanafamilia wao ukimuoa huyo binti sasa ujue kuwa huyo baba aliyemuua baba yako atakuja kwenu either kuwasalimia au kupata chakula.
Swali ni je unajua atakapokuwa anakula na wewe mezani atakuwa amekuja na nini cha kukuangamiza? Unajichimbia kaburi brother kaa mbali kabisa.
Kinyongo kipo na mapenzi yapo so tafuta mwengine hao hawafai hata kwa dk moja kwani damu ni damu tu na thaman yako kwa mkeo haifanani na ya baba yake
Epuka uzoba wanawake wapo wengi oa utulie na ujifunze kusema basi ukichoshwa
I feel like I gonna be crazy! What terrible advice!
 
Daaah thanks mkuu
Kama unadhani nakuongopea nitafute inbox, coz mimi kama mimi imenitokea namshukur mungu nilijitahd kujizuia ,

Ilibakia kidogo tu nifanye ya kufanya
Oops I feel like it may terrorize her mind for sure, uuuuh my God how can i dare to tell such malicious and misfortune of her dad??
Nooooh i love that girl i wont let her feel down!
 
Au nimfungulie mashataka? Maana haki ndio iliyonisukuma kusomea Sheria?

Mashtaka gani? Kama una ushahidi kuwa baba yake mdogo ndiye aliyemua baba yako basi peleka malalamiko na ushahidi wako kwa vyombo husika. Kama huna ushahidi then, there is nothing you can do hata kama roho yako inakutuma kuwa baba yake mdogo ndiyo muuaji. I am sorry to say this, lakini ndiyo sheria ilivyo. The one who alleges, must prove. Na kwenye kesi za jinai kama hii, lazima kuwe na proof beyond reasonable doubt.

Kuhusiana na huyo msichana maelezo yako yanachanganya kidogo. Umeandika ni "mchumba" wako tangu mkiwa advanced. Then, ukaandika tena mara kadhaa mmekuwa mkijadili kuhusu kuvalishana pete ya uchumba. Ni mchumba au ni girlfriend.

Nimesoma baadhi ya maoni ya wachangiaji. Wengi wameshauri umwache huyo dada. Wengine wanasema umwache kwa kumwambia ukweli, lakini wengine wanashauri umwache kimya kimya. Sababu kuu ni kuwa anatoka familia ya wauaji wa baba yako.

Kwa maana nyingine, baadhi ya wachangiaji wanamhukumu huyo dada kwa allegations za mauaji yaliyofanywa na baba yake mdogo. Wengine wameweka mpaka vifungu vya bibilia. Lakini muhimu zaidi huyo dada hajui chochote kuhusiana na nani alimwua baba yako. In fact, hata wewe umemweliza hivi karibuni tuu kifo cha baba yako. Sidhani kama vitabu vya dini vinasema kuwa tumhukumu mtu kwa makosa ya watu wengine.

Wewe kama wewe, do you think she deserves to know what you're thinking? Imagine it was the other way round, halafu yeye afanye kama wengi wanavyoshauri ufanye ungejisikiaje? Kwa nini tuhukumu this innocent girl ambaye hajui hata kilichotokea?

Naanzaje sasa eeh Mungu maana ataniona msaliti mm na mm sitaki kuyaona machozi yake?

It is a tricky situation to be in, but you gonna have to be a man here. It is probably going to be one of the toughest decision you have to make, but you have to make and prepare to face the consequences.

Option 1. Kaa kimya na mwache bila kumwambia chochote. Lakini itatokea siku atajua ni kwa nini ulimwacha. This is easy than done but you will have to face the consequences atakapojua. Pili you will never feel happy kuwa hukumwambia why you dumped her.

Option 2. Mwache lakini face her and tell her about the whole thing, how you feel about it and how you think it might affect mahusiano yenu now and then. Tough option, but worth thinking about.

Tatizo huna ushahidi wa allegations kuwa baba yake mdogo ndiye alihusika na kifo cha baba yako. Hapo kwa kweli kama ukimwambia, then you have to approach the matter very careful maana inaweza ika-backfire na kutonesha madonda. Pia atakulaumu kwani nini hukumwambia tokea mwanzo and you will have to explain why.

Option 3. Taking into account muda ambao mmekuwa pamoja na mapenzi yenu ya dhati mkae chini mjadiliane na mfikie makubaliano/compromise on the way forward. Don't tell her you leaving her. Just let her to think about it na asema mwenyewe anajisikaje kuendelea kuwa na wewe in those circumstances. Ukimwambia ukweli wa hisia zako na kama ni dada mwelewa atakushukuru na hata kama mikifikia compromise ya kuachana hatakusahau for the rest of her life.

The botton line: Hata kama unamwacha don't punish her for things she didn't do or was not aware of. Remember what goes around comes around. It is tough but jifunze kusamehe. Let it go.
 
Back
Top Bottom