antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,628
- 120,158
Mbona una wasiwasi..Nianze na ombi Mode naomba Uzi huu usiuunganishe na ule wa Job maana huu una masipika wawili mmoja wa Uganda inasemekana amefariki baada ya kulishwa SUMU!
Pamoja na Sipika wa Tanzania aliyejiudhuru.
Tuanze kwa huyo wa Uganda,ukipitis kwenye mitandao utakutana na kauli hii ya spika wa Uganda alikuwa kwa kulishwa SUMU, na aliyetoa taarifa hiii ni Baba ake Mzazi namnukuu" siwezi kuomboleza kiundani,aliyelala hapa ni mwanangu na amefariki kwa kulishwa SUMU na anongezea yakuwa Marehemu mwanae alimjulisha baba yake,yakuwa amelishwa sumu,na ilimuhathili sana hata serikali ilipokuwa ikimpeleka hospitali za nje tayari Alisha athilika sana na hasingeweza kupona." Mwisho wa nukuu.
Je Kwa Nini walimsha sumu?najua jf hapa ni pahala sahihi Sanaa najua naweza pata. Majibu ya ilu swali.
Je Yu wapi Job Ndungah I?nimejiwa n wasiwasi maana sipika wa Uganda sikuwai sikia akiwa na mgogoro na mtawal a,ila Huyu wetu alikuwa na mgogoro na utawala je uko aliko kupo Salama kiasi gani huko?.
Kwani bado kuna utekaji awamu hii?!