JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Mzee Okori ametoa kauli hiyo leo wakati wa shughuli za mazishi ya Spika Jacob.
"Sitaki niomboleze na kulia kwa ndani tu nataka kuweka ukweli wazi, Jacob alipewa sumu, aliniambia kabla hajafariki, sumu ile iliathiri afya yake sana na wakati anasafirishwa kwenda nje ya Nchi (Marekani) kwa matibabu tayari walikuwa wamechelewa na hakuweza kupona," amesema mzazi huyo.
Jacob alifariki dunia Machi 20,2022 nchini Marekani alipokuwa akipatiwa matibabu.
PIA SOMA:
- Jacob Oulanyah, Spika wa Bunge la Uganda afariki dunia
Source: Eagle