Baba mtarajiwa, nini natakiwa kufanya?

Baba mtarajiwa, nini natakiwa kufanya?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,076
Wakuu habari za wakati huu.

Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo.

Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla na baada ya kujifungua.

Girl friend wangu anaishi kwake na mimi naishi kwangu, yuko financially stable ila I want to support her kwa vitu vyote vinavyohitajika.

Naomba kujua nahitaji kuandaa nini na nini ili niweze kupanga Budget yake mapema.

Ahsante.
 
Wakuu habari za wakati huu.

Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo.

Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla na baada ya kujifungua.

Girl friend wangu anaishi kwake na mimi naishi kwangu, yuko financially stable ila I want to support her kwa vitu vyote vinavyohitajika.

Naomba kujua nahitaji kuandaa nini na nini ili niweze kupanga Budget yake mapema.

Ahsante.
ratiba za clinic zinakuhusu

mavazi ya mtoto lazima

chakula cha mtoto na mama muhimu

na ukaribu wako pia ni lazima usichukulie kuwa gf wako yuko stable kiuchumi kila kitu atamaliza yeye hapana, mzee baba majukumu yote muhimu pambania, zidi kutafuta hela maana matumizi ni mengi
 
Usaidizi.
Nguo za mtoto zinatakiwa kufuliwa kila mara. At the same time anyonyeshe au ambembeleze, atahitajika kula kwa wakati na kupumzika.

Tafuta mtu wa kumsaidia hizo kazi.

Kukandwa.
Hili swala hua anafanyiwa na upande wa kwao kama ni yatima ujue hilo linatakiwa kuwepo.

Uwepo wako.
Mimi narudi nyumbani saa tano au sita. At that time narudi nakuta mtu anabembeleza mtoto huku anasinzia so I usually helped at night. Na kumvalisha pampers dogo.

Pia safari za kliniki. Akizaliwa baada ya siku saba mtarudi kliniki, nilidhani ni ishu ya saa moja ila ilichukua saa kumi.

Nyumba safi.
Kwakua umesema wote mko stable financially najua hili lishafanyika.

It's funny watching your kid grow. Binti yangu alizaliwa mwaka jana mwaka huu naweza hold naye convo, kuna jina halipendi now mpwa wangu akamuita 'Nyaubi' akajibu 'Nyaubi bibi yako'

I know siyo tabia nzuri but I laughed.
 
Wakuu habari za wakati huu.

Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo.

Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla na baada ya kujifungua.

Girl friend wangu anaishi kwake na mimi naishi kwangu, yuko financially stable ila I want to support her kwa vitu vyote vinavyohitajika.

Naomba kujua nahitaji kuandaa nini na nini ili niweze kupanga Budget yake mapema.

Ahsante.
Katika siku hizi za mwisho jitahidi kuwa karibu naye kimwili na kiroho..mliwaze kwa kila namna mpatie chochote kilichoko ndani ya uwezo wako ambacho utamfanya awe na furaha... MPENDE
 
Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo.

Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla na baada ya kujifungua.

Naomba kujua nahitaji kuandaa nini na nini ili niweze kupanga Budget yake mapema.

Yaani huwa mnadinyana tu na hamjui matokeo yake, ona sasa baba mtarajiwa hata hajui nini cha kufanya mtoto akizaliwa!!!

Jiandae kumlipia mtoto bima ya afya (watoto huwa wanapata maradhi mara kwa mara)...

Jiandae kumnunulia mtoto nguo za watoto jozi za kutosha, zile baby blankets, jiandae kununua diapers (kwa wastani mtoto mdogo huvaa diapers 8 hadi 12 kwa siku, kila baada ya masaa mawili hubadilishwa), kuna mafuta ya watoto, beseni la kuogea, mataulo mawili, wipes, maziwa ya kopo (kama maziwa ya mama hayatoshi), vichupa vya mtoto kunyonya maziwa ya kopo, vichupa vya kuhifadhia maziwa ya mama...

Nunua kipima joto kile cha digital, nunua sabuni za kufulia nguo (ziwe zile za watoto au ukishindwa ziwe za kipande, usitumie hizi jamii za kina Omo maana zina harufu kali kwa mtoto na nyingine huleta aleji ya ngozi), usihangaike kununua midoli kwa sababu haina msaada kwa mtoto mchanga...

Kuwa na hifadhi ya hela kwa ajili ya 'imejensi'
 
Wakuu habari za wakati huu.

Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo.

Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla na baada ya kujifungua.

Girl friend wangu anaishi kwake na mimi naishi kwangu, yuko financially stable ila I want to support her kwa vitu vyote vinavyohitajika.

Naomba kujua nahitaji kuandaa nini na nini ili niweze kupanga Budget yake mapema.

Ahsante.
Hongera sana
 
Wakuu habari za wakati huu.

Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo.

Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla na baada ya kujifungua.

Girl friend wangu anaishi kwake na mimi naishi kwangu, yuko financially stable ila I want to support her kwa vitu vyote vinavyohitajika.

Naomba kujua nahitaji kuandaa nini na nini ili niweze kupanga Budget yake mapema.

Ahsante.
Hongereni sana.
Hakikisha ana BIMA nzuri ya afya, yenye uwezo wa kupata huduma yeyote ikilazimu.
Kuwa sehemu ya furaha yake,pia pata muda wa kucheza na dogo akiwa tumboni,mwambie namna unavyompenda na kumtarajia kuja duniani.
Usisahau "Pesa" kutosha mfukoni,"akili" ya kujiongeza kichwani.
All the best.
 
Back
Top Bottom