The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,076
- Thread starter
- #41
Sawa mkuu.Bima tumia yako ndio heshima ya kiumeni mtoto anatumia ubini wako kwa nini akatiwe bima ya mama? Pia hata kama mama yake ana uwezo wa kununua ndege gharama zote za kutunza mtoto anatoa baba. Utagongewa mchana kweupe kama una akili utakuwa umenielewa
Ila nakukumbusha, sio mke wangu na wala hatuna mpango wa kuoana, ni rafiki tu tumeamua kuzaa