Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
mi mwenzenu kizungu siwezi sasa kuna mtu kaniambia niibadili hii sentesi kwa kizungu>>> "baba mimi ni mwanao wangapi"?
nisaidieni
nisaidieni
Na wewe umeshindwa?haya bana
Labda mi kipofu..au umetumia font nyeupe, cuz mi sion kitu kabisa!jibu lake nimepata.
Isnt it?
Umetoka kabisa nje!! Naona hukuelewa kinachohitajika hapa!!Sema hv:father am i first born 2 u?akisema no,muulze so!!.Atakujibu 2 ww n wangap
Ucshangae!
Umetoka kabisa nje!! Naona hukuelewa kinachohitajika hapa!!
atakayejibu hlo swari nampa hela
Father,
whats my birth rank to you?
Hii hapa...............https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/150910-wakalimani-tafadhali.html?highlight=Hili swali limewahi kujibiwa vema sana.Angalia jukwaa la lugha.