Baba mimi ni mwanao wa ngapi??

mi mwenzenu kizungu siwezi sasa kuna mtu kaniambia niibadili hii sentesi kwa kizungu>>> "baba mimi ni mwanao wangapi"?

nisaidieni
 
nikijaribu kufikiria kwa kingereza bongo ina jam. muulize super mod Fang au Kiranga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom