Baba Mdogo wenzie wote wamefariki, badala ya kutusimamia vizuri yeye anatuuza

Baba Mdogo wenzie wote wamefariki, badala ya kutusimamia vizuri yeye anatuuza

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926
Baba yetu alishatangulia mbele za haki. Baba wadogo walishafariki pia. Amebaki mama na baba mdogo.

Sasa baba mdogo badala ya kuwa mshauri mkuu kuhakikisha familia inabaki salama yeye anamsaidia mama kutuuza.

Baadhi ya kina kaka wamechachamaa lakini baba mdogo kaziba masikio. Ndugu kina mzee Joseph wamekemea lakini wanaonekana hohehahe tu.

Kilichobaki ni wana ukoo wote na kijiji kizima waungane kumkemea huyu baba mdogo na mama.
 
Baba yetu alishatangulia mbele za haki. Baba wadogo walishafariki pia. Amebaki mama na baba mdogo.

Sasa baba mdogo badala ya kuwa mshauri mkuu kuhakikisha familia inabaki salama yeye anamsaidia mama kutuuza.

Baadhi ya kina kaka wamechachamaa lakini baba mdogo kaziba masikio. Ndugu kina mzee Joseph wamekemea lakini wanaonekana hohehahe tu.

Kilichobaki ni wana ukoo wote na kijiji kizima waungane kumkemea huyu baba mdogo na mama.
Baba mdogo wenu ni Muhuni tu ,anampoteza mama yenu....#KATAA_WAHUNI.
 
Baba yetu alishatangulia mbele za haki. Baba wadogo walishafariki pia. Amebaki mama na baba mdogo.

Sasa baba mdogo badala ya kuwa mshauri mkuu kuhakikisha familia inabaki salama yeye anamsaidia mama kutuuza.

Baadhi ya kina kaka wamechachamaa lakini baba mdogo kaziba masikio. Ndugu kina mzee Joseph wamekemea lakini wanaonekana hohehahe tu.

Kilichobaki ni wana ukoo wote na kijiji kizima waungane kumkemea huyu baba mdogo na mama.
Baba mdogo nae ana wanae anataka kuhakikisha wanakuwa maisha ya juu, na amejua upenyo ni mama
 
Baba n'dogo ni nhuni
20250721_125833.jpg
 
Ba mdogo sio sawa, kwa nn huyo mama yenu amekubali kuuzwa ? Kichwani hazimtoshi ? Nyie wanae si mmekuwa wakubwa tayari ? Ama na nyie bendera fata upepo ?

Lalini inaonekana huyo ba mdogo wenu ni mjanja mjanja, mnaweza kuuzwa na mali alizoziacha baba yenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom