Baba lao video is Out (Diamond Platnumz)

Baba lao video is Out (Diamond Platnumz)

Pengo la harmo limeanza kuonekana?
Hii ni moja kati ya nyimbo zake mbovu, hakuna ubunifu wowote katika wimbo huu. Na alivyo na mashabiki maandazi wote wanamsifia kuwa katoa bonge la hit.
 
Kweli mond sijamuelewa na huu wimbo.cha kwanza ni mmbaya hatari..hauna ubunifu wowote
 
Sijamuelewa alichoimba, hapo nimeambulia 0.
Sasa nyie wazee si msikilize les wanyika huko. Hizi za chibu huwezi kuelewa ni nyimbo za vijana.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huu wimbo amekurupuka, acha ubishi.
Ili wimbo ukamilike una vipengele vingi kama vile mastering, vocal, idea, melody, style, rhymes, beat n.k sasa wewe unazungumzia kukurupuka upande gani? Isije ikawa ni style iliyotumika ni ngeni kwako ulitaka abane pua ndio maana ukasema mbaya!? [emoji16][emoji16]
 
Mm binafsi sijaielewa hii nyimbo ni ya taarabu.,singeli.,baikoko au mnanda?!...yani pamoja na kuiba nyimbo ya mtu bado unatoa nyimbo mbovu..kweli cku za domo zinahesabika
#R.I.Pdomo
Hiyo style ni mpya hapa Tz na kwa mbali inafanana na Kwaito hivyo lazima muone mashikolo mageni....huyo anaitwa Baba ya muziki maana ndiye msanii pekee aliyethubutu kufanya style nyingi za muziki bila kuogopa kushuka na zote zikahit.
Ameimba Hip hop, Zouk, Rhumba, Kwaito, Rnb, Mduara, Singeli, Zanku, Afro beat, Dansi na sasa dude jingine hilo Baba yao style yake bado sijainyaka.....umeelewa?
 
Hiyo style ni mpya hapa Tz na kwa mbali inafanana na Kwaito hivyo lazima muone mashikolo mageni....huyo anaitwa Baba ya muziki maana ndiye msanii pekee aliyethubutu kufanya style nyingi za muziki bila kuogopa kushuka na zote zikahit.
Ameimba Hip hop, Zouk, Rhumba, Kwaito, Rnb, Mduara, Singeli, Zanku, Afro beat, Dansi na sasa dude jingine hilo Baba yao style yake bado sijainyaka.....umeelewa?
Sina tatizo na hiyo style aliyoimba,wimbo ni mbovu wimbo hauna melody nzuri ya kuvutia,idea mbovu yaani hakuna cha maana alichoimba,mwisho hakuna msanii duniani ambaye amewahi kutoa nyimbo halafu ngoma zote zikawa hit kuna nyingine lazima zibume tu km hii
 
Sasa nyie wazee si msikilize les wanyika huko. Hizi za chibu huwezi kuelewa ni nyimbo za vijana.[emoji16][emoji16][emoji16]
Nyimbo za vijana? Vijana wa wapi unaowazungumzia wewe? Mbona Mimi kijana na sihaelewa?
 
1M views within 15 hours... #1 on trending Tz

People be like Nyimbo mbaya[emoji23][emoji23]
Hivo vitu ulivyovitaja havina uhusiano wowote na wimbo kuwa mbaya kuna MTU anaenda kuangalia ili kuprove km wimbo ni mbaya kweli au laah? MTU ana subscribers 2.5m kwanini asipate hao viewers?
 
Sina tatizo na hiyo style aliyoimba,wimbo ni mbovu wimbo hauna melody nzuri ya kuvutia,idea mbovu yaani hakuna cha maana alichoimba,mwisho hakuna msanii duniani ambaye amewahi kutoa nyimbo halafu ngoma zote zikawa hit kuna nyingine lazima zibume tu km hii
No1 on trending kama wimbo mbovu kajinyonge.saiz kila kona Ni" Baba lao"......wewe ni baba laao ao ni mama laaao!
 
Back
Top Bottom