Kwani mondi ana achia nyimbo kwaajili ya mtu au kwaajili ya mashabiki wake?Vya kurithi vinazidi mondi amemrithisha mwenyewe mikito huyo dogo sasa asipaniki afanye kama anavyofanyaga kiba,kiba hata uporomoshe nyimbo 10 hatishiki ye anapojiona yupo tayari anaashia.
mashabiki ni mbuzi au kondooKwani mondi ana achia nyimbo kwaajili ya mtu au kwaajili ya mashabiki wake?
Subiri matusi mkuuHii ni moja kati ya nyimbo zake mbovu, hakuna ubunifu wowote katika wimbo huu. Na alivyo na mashabiki maandazi wote wanamsifia kuwa katoa bonge la hit.
[emoji3][emoji3]mash
mashabiki ni mbuzi au kondoo
Mashabiki huwezi kuwaita mbuzi au kondoo cos hao ndo wanaowatajirisha wasanii na bila wao hakuna wasanii.mash
mashabiki ni mbuzi au kondoo
Aah aah aah!Chizi lao bado hajaipata penseli au
Dada yangu mbona unateseka kiasi hicho na maoni yangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kuna watu wanapata tabu jamani [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]eti video nampa 100 wimbo nampa 50 waaaiiiiii kuwa msukule raha
Nafikiri ujatafakari nilichokimaanisha.Mashabiki huwezi kuwaita mbuzi au kondoo cos hao ndo wanaowatajirisha wasanii na bila wao hakuna wasanii.
Video katoa muda si mrefu ila audio alitoa Jana.Mbona kule nimekuta audio
Mkuu TAMKO bado?Video ni nzuri Sana Nampa 100% ingawa wimbo nampa 50%