Baba lao video is Out (Diamond Platnumz)

Baba lao video is Out (Diamond Platnumz)

Mzuka ukipanda na hili shati navua (acha uongoooo)

Mzuka ukipanda na hili bukta navua (acha uongoooo)

Jamani navuuuu (acha uongooo)

mama navuaa (acha uongooo)

mwenzenu navua eeeeeeeeeh (Kuna BASATA)

Basi napiga yopeee (huweziiii)

iyobo napiga yopeee (huweziiii)

Mi napiga yopeeee (huweziiiii)

Eh eh eh eh eeeeeeeh eh eh eh eh eeeeeeeeeeeh
 
Kujishtukia nacho kipaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimempa 100% video cos video ni kali na yenye ubunifu Sana na nimeikubali ile mbaya ila wimbo sijaupenda Sana Kama ngoma zake za nyuma ndo maana nimetoa asilimia 50.Nashangaa
dada yangu mpendwa unavyonipigaa vijembe
 
Mzuka ukipanda na hili shati navua (acha uongoooo)

Mzuka ukipanda na hili bukta navua (acha uongoooo)

Jamani navuuuu (acha uongooo)

mama navuaa (acha uongooo)

mwenzenu navua eeeeeeeeeh (Kuna BASATA)

Basi napiga yopeee (huweziiii)

iyobo napiga yopeee (huweziiii)

Mi napiga yopeeee (huweziiiii)

Eh eh eh eh eeeeeeeh eh eh eh eh eeeeeeeeeeeh
Hii segment naipenda Sana.
 
Mtu
Ebu nifafanulie vizuri ulikuwa unamaanisha Nini?
Mtu unayehisi au watu kumchukulia ni mpinzani wako akifanya jambo vuta subira upepo wake upite kidogo nawe utafanya na watu watajua umefanya. Mfano sisi wanawake mdogo ako akikutangulia kuolewa kaolewa wiki hii mara wiki ijayo nawe unaleta mchumba na unataka ndoa ya haraka unadhani waalikwa na ndugu watahisije.....................?
 
Mtu

Mtu unayehisi au watu kumchukulia ni mpinzani wako akifanya jambo vuta subira upepo wake upite kidogo nawe utafanya na watu watajua umefanya. Mfano sisi wanawake mdogo ako akikutangulia kuolewa kaolewa wiki hii mara wiki ijayo nawe unaleta mchumba na unataka ndoa ya haraka unadhani waalikwa na ndugu watahisije.....................?
Diamond maisha yake ni mziki na atoa mziki kwa malengo yake anayoona yeye ili awafurahishe mashabiki wake ngoma hii kaachia kwa sababu ya WASAFI FESTIVAL ambayo itafanyika kesho na si kwa kuangalia mtu mwingine.Kusema eti katoa kwasababu ya fulani uwo ni mtazamo wako.Na nikawaida ya mond kutoa ngoma ya kuchezeka pindi inapokaribia wasafi mfano ngoma Kama African beauty alitoa pia kipindi Cha kukaribia wasafi na mashabiki zake wanajua Hilo.
 
Diamond maisha yake ni mziki na atoa mziki kwa malengo yake anayoona yeye ili awafurahishe mashabiki wake ngoma hii kaachia kwa sababu ya WASAFI FESTIVAL ambayo itafanyika kesho na si kwa kuangalia mtu mwingine.Kusema eti katoa kwasababu ya fulani uwo ni mtazamo wako.Na nikawaida ya mond kutoa ngoma ya kuchezeka pindi inapokaribia wasafi mfano ngoma Kama African beauty alitoa pia kipindi Cha kukaribia wasafi na mashabiki zake wanajua Hilo.
Msemaji wa uongo ila niliyokwambia mimi ndio Uhalisia wa kimaisha na kirizki,naomba nikomee hapa.
 
Mzuka ukipanda na hili shati navua (acha uongoooo)

Mzuka ukipanda na hili bukta navua (acha uongoooo)

Jamani navuuuu (acha uongooo)

mama navuaa (acha uongooo)

mwenzenu navua eeeeeeeeeh (Kuna BASATA)

Basi napiga yopeee (huweziiii)

iyobo napiga yopeee (huweziiii)

Mi napiga yopeeee (huweziiiii)

Eh eh eh eh eeeeeeeh eh eh eh eh eeeeeeeeeeeh
acha uongo
 
Mzuka ukipanda na hili shati navua (acha uongoooo)

Mzuka ukipanda na hili bukta navua (acha uongoooo)

Jamani navuuuu (acha uongooo)

mama navuaa (acha uongooo)

mwenzenu navua eeeeeeeeeh (Kuna BASATA)

Basi napiga yopeee (huweziiii)

iyobo napiga yopeee (huweziiii)

Mi napiga yopeeee (huweziiiii)

Eh eh eh eh eeeeeeeh eh eh eh eh eeeeeeeeeeeh
Isije ikawa miongoni mwa hizo video mbili kuna mmoja kaimba hivyo na umefanya kumnukuu aisee nisijue maana ntakufa kwa cheko

Sitacheka kilichoimbwa bali ntawacheka watu wanaowashabikia hao wasanii
 
Shukrani tanasha dona... WIMBO MBOVU KUWAHI KUTOKEA UKIFUATIWA NA ULE WA ZILIPENDWA..
 
Back
Top Bottom