Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

wakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.
Kama umeahakua kiasi cha kuanza kuona kasoro za ndoa ya wazazi wako,nakushauri uhame home. Hivi vitu usipokuwa navyo makini huwa vinararua familia vipande vipande.

Ushauri wangu:
Usijethubutu kumsanua mazeri kwa huo msala, wala usijaribu kuingilia mahusiano ya baba na mama yako....yalianza kabla yako,kama kuna tofauti ukipatiwa nafasi jaribu kurekebisha ila usichague upande wa kuambatana nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna akili nyingi sana na hekima za kuishi na mzazi asiye na busara.Si baba wala mama yeyote anaweza kufanya hivyo na baadhi hufanya. Ukilichukulia kwa jazma kwa ajili ya mapendo ya mzazi wako mwingine na ukamchukia au ukaonyesha dharau kwa anayefanya hivyo waweza kuondoka na laana. Ila kwa mzazi anayeleta mchepuko wowote ndani wakati watoto wanajitambua huyo ni hovyo kabisa na ndio wazazi ambao hutembea hata na mabinti zao wa kuwazaa maana ule mshipa wa adabu kwao ulishapasuka
 
Anaweza kukaa kimya ila siku mama yake akiambukizwa maradhi nafsi yake itamsuta mpaka anaingia kaburini.
Busara ni kukaa kimya kama hujui lolote. Kama unaweza kujimudu kupanga geto lako, na mahitaji mengine basi umwambie baba mwenyewe na siyo mama yako.

Mzee wako anafanya makosa tena makubwa sana ila kumfunga paka kengele ni ngumu mno.
Huwezijua chanzo cha yeye kufanya hayo. Usikute mama yako anampa mgongo miaka yote au wanalala mzungu wa nne.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ushauri mujarabu. Sky Eclat please naomba niwe mkwe wako huko mbeleni aiseee.
Mueleze haya maneno mtu mwenye hekima amkalishe Baba yako. Akileta magonjwa ndani mama yako atakua mhanga pia anakufundisha nini wewe mtoto wake?

Una babu, Baba mkubwa au hata kiongozi wa dini, uyaweke wazibaba yako aitwe pasi mama yako kufahamishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mama amepambana mpaka nimalize chuo kikuu lazima mzee azime

Umemaliza ‘chuo kikuu’ na bado upo nyumbani, ndo maana hata mshua anakuchukulia poa.... anakuona mtoto tu huna ishu kama watoto wengine.

Endelea kulialia acha dingi anyooshe mshipa.
 
wakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.


Akiingiza Demu , na wewe ingiza wako- then piga mashine ya hatari mpaka huko room Kwa Dingi wajione hawapigani mashine vya kutosha.
 
Unauhakika Bi mkubwa naye haingizi wanaume ndani ya nyumba huko aliko... Mambo ya wazazi waachie wenyew unajua walipendana wapi. .ukiona yanakukera ondoka nenda kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee wako hajitambui, seriously hajitambui kabisa. Unaweza kucheat ndio lakini kuingiza wanawake nyumbani kwako na mkeo, hiyo ni dharau kubwa kwa familia yako.
 
wakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.
Nenda kwako!! au Bi Mkubwa alikuomba umchungie babako?
 
Back
Top Bottom