Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

Siku vizia hao wanaoletwa wakienda toilet na wewe muombe umuinamishe huko huko share nae tu mzee hao ni malaya tu. Hataleta tena akija kujua.
Angalizo
Fanya haya kama umejipanga kutoka home ukajitegemee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kha wewe hebu acha uchochezi
ulivyo dhaifu hivo na kulalamika kama mtoto wa kike huwez mkuu huna ubavu huo ungekuwa sio dhaifu na kutonyamazia huo ujinga wake mzee angekuheshimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unacho cha kupoteza ndo maana mpaka sahivi haujampiga

Sent using Jamii Forums mobile app
Dooh badala ya kupambana eti unalia mkuu hizi dharau mpaka lini lazima wakuheshimu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo uoga mtukane akuskie

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikubali mkuu utadharaulika mpaka lini kukaa kimya bila kufanya action ni sawa na kubadilisha jinsia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli hamuheshimu bi mkubwa pamoja na wewe, kwakua umeleta uzi hapa naamini una umri wa kutosha kumwambia baba yako kwa heshima na unyenyekevu mkubwa kwamba jambo hilo analolifanya sio baya ila unahisi nafsi yako kama haifurahishwi, ni dhahiri atachukia, lakini ujumbe utakua umefika.

Njia ya pili kama unahofia kibano, unaweza mwalika ndugu mmoja wa upande wake ambae anamheshimu aje nyumbani muda ambao unajua baba atakua na mama feki, lakini usimueleze kama unamwita kwa sababu hiyo, tafuta sababu nyingine unayoona itaendana na mazingira mnayoishi.

Njia ya tatu kama hua anaenda kanisani au msikitini, mwambie kiongozi wa dini atoe mahubiri yanayohusiana na tabia za baba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona watu mna tabia mbaya hivi?? Unathubutu kumtuma mwenzio kwenda kujiokotea laana hivi hivi?? Ndg Kama una akili kidogo tu. Usithubutu hata kukaa sebuleni baba akiwa anapitisha mzoga wake huo.
Fumba macho kabisa ujifanye huoni lolote. Ukiona haya yakitendeka wakati mamako kasafiri huenda kuna mambo yamempata mamako na upendo wake kwa babako akaona asijepatwa tezi dume kwa mbegu kumzidi kiunoni. Huenda mamako kaugua gonjwa asiloweza kukueleza ila babako analijua.
Kumsaidia baba na mama asizuie, mama aka feki safari hiyo ya kwenda Dar, Upooo?? Kweli vijana mnakosa adabu sana. Ati wanakushauri uende kuwaeleza wengine huko barabarani. Huyo ndugu wa babako wa kwanza utakaye mueleza, akiwa na mapenzi mema nadhani atakutwanga makofi na kukukanya usirudie kumzuia babako.
Hata kama ni kumdharau mamako, babako hawezi kuleta mzigo ndani tena chumbani kwa mamako bila idhini ya mamako. Haiwezekani
 
...Ww mtoto acha ujinga......humu Kuna wapumbavu wengi.....nenda kawaambie wazee wako wengine.........
 
Back
Top Bottom