Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

wakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.
kama ww ni me hapo home mngeongea fresh na mdingi kwamba hizo mambo sio po kufanyia home maana hata kama ww hutosema ila wapo ambao wataleta habari mpaka kumfikia bi mkubwa. inavyoonekana ww na mshua hamko fresh ndio maana anakuona snitch kwake na kuanza kuishi maisha ya pekeake. mbona sisi wengine tunawekana fresh tu na mdingi na mambo yanasonga ? mkuu jaribu kurekebisha dosari ili mzee akae usawa mzuri
 
Busara ni kukaa kimya kama hujui lolote. Kama unaweza kujimudu kupanga geto lako, na mahitaji mengine basi umwambie baba mwenyewe na siyo mama yako.

Mzee wako anafanya makosa tena makubwa sana ila kumfunga paka kengele ni ngumu mno.
Huwezijua chanzo cha yeye kufanya hayo. Usikute mama yako anampa mgongo miaka yote au wanalala mzungu wa nne.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ukinyimwa unyumba ndio upoteze akili au staha ya kujiheshimu kama baba. Vipi mbeleni wanawe wakianza kuzingua katika ndoa na yeye atakuwa na kauli kama mshauri kweli !!!...

huyo mzee hajiheshimu tu
 
huu usenge siwezi kuukubali
Ungekua huwezi kuukubali usingekuja jeiefu kulialia Kama unajiamn ongea na mzee wako au tafuta watu wa busara waongee nae.

We jikute kichaa unahasira Sana mtende mzee wako vibaya utaona namna mama yako atakulaumu na ndugu wengine.


Halafu umesema Umemaliza chuo kikuu vipi huko yunivasite hujapata maarifa hata kidogo ya kutatua changamoto za maisha? Au hiyo elimu unataka ukaitumie wap?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.
Hata nyinyi hawaheshimu. Hana maadili, mjinga, hovyoooo


Huyo si baba ni baa.

Mkalishe chini umueleze anavyofanya siyo sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom