Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,699
- 2,455
Sasa kuja kulalamika jf inasaidia nn je unafahamu sababu ya kufanya hivyo inawezekana mama yako akawa na matatizo tafuta chanzo kabla ya kulaumuhii haisaidii.
Sasa kuja kulalamika jf inasaidia nn je unafahamu sababu ya kufanya hivyo inawezekana mama yako akawa na matatizo tafuta chanzo kabla ya kulaumuhii haisaidii.
Akifanya hivyo moja kwa moja atakua amevunja ndoa ya wazazi hapo atakua amezalisha tatizoWapige picha, yaani tafuta ushahidi hlf mjulishe mama. Mzee wako hajitambui mkomeshe.
Hapa utapata ushauri wa kinafiki tu. Angekuwa mama ndo anaingiza vidume ungeshauriwa vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mstaarabu..... Haikutakiwa hata mtoto wake ajue Kama mzee wake anachepuka....sikatai afanye ila sio nyumbani kwa maza.
Asi thubutu kumuonesha picha mama yake asije akamuua na presha buree....( Za kuambiwa changanya na zako)Wapige picha, yaani tafuta ushahidi hlf mjulishe mama. Mzee wako hajitambui mkomeshe.
Hapa utapata ushauri wa kinafiki tu. Angekuwa mama ndo anaingiza vidume ungeshauriwa vzr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Leo unaishi kwenu mkuu? Hama kaishi hata kwenye mtaro, hayo ya baba na mama nakuhusu nini? We ndo huna akili jiongeze mkuuwakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.
wakuu hii imekaaje nipo nyumbani kwa mda na mama mzazi amesafiri kwenda dar kuwaona ndugu zangu wengine. ila mzee naona ana tabia ya kuleta wanawake ndani naona inakuwa too much naona kama hamheshim bi mkubwa.
Acha kulia lia mwanaume, vuta manzi ashindane kulia na demu wa mzee wako.siamini kama napambana na baba mzazi