Baba mzazi wa Kanumba anaeishi Shinyanga ambae alishindwa kuja msibani kutokana na kuumwa, amezungumza na kusema kwamba sasa yuko tayari kuja Dar es salaam kushughulikia swala la Mirathi baada ya kudai kwamba mama mzazi wa Kanumba ambae yuko Dar ameanza kuharibu kuhusu ishu ya mirathi.
Amesema "Tutakaa kikao jumamosi kuteua msimamizi wa mirathi, mama ameteua kinyemela bila kunishirikisha.
Hilo swala nimelipinga Nimewasiliana nae kumuuliza kwa nini kafanya hivyo akawa ana jiuma uma tu. Kwa nini umeokota watoto na kuwadanganya danganya kikao cha kusimamia mirathi si tungekaa pamoja? akachukua watoto wangu walioko huko wasichana wawili lakini walipotoka kikaoni wakanipigia simu kwa sababu hawakuridhika"
Amesema "Tutakaa kikao jumamosi kuteua msimamizi wa mirathi, mama ameteua kinyemela bila kunishirikisha.
Hilo swala nimelipinga Nimewasiliana nae kumuuliza kwa nini kafanya hivyo akawa ana jiuma uma tu. Kwa nini umeokota watoto na kuwadanganya danganya kikao cha kusimamia mirathi si tungekaa pamoja? akachukua watoto wangu walioko huko wasichana wawili lakini walipotoka kikaoni wakanipigia simu kwa sababu hawakuridhika"