Baba Askofu "Mwamakula" alivyokoswakoswa

Baba Askofu "Mwamakula" alivyokoswakoswa

shokoshugi

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2015
Posts
333
Reaction score
563
'TIKITAKA' ZA DANGOTE AKIELEKEA KENYA!

Unamtambulisha msichana hadharani kuwa ni Bibi Arusi wako mtarajiwa kumbe hujafika hata kwa wazazi wake kujitambulisha! Sasa kaamua kuolewa na 'Mnyilemi Kindamba' wa Uchindile anadai wewe ni 'Kapufi Mwanansao' ambaye ni Mfipa wa Kirando hujui hata kuvua hao samaki!

Dangote naye anatangaza huko kuwa anafikiria kuwekeza kiwanda cha kusafisha mafuta huko Mombasa ambayo ina kina kirefu kuliko Tanga ambayo kina chake ni kifupi hakifai hata kupaki ngalawa au 'boti' za Mpiji!

Ninyi badala ya kujadili dili za nguvu na Kipruto, mkawa mnampenyezea Malkia Nzinga Mbande ili aanze kuwacharaza mijeledi akina 'ntukwe'!
Muiteni Muhehe wa Kiponzelo aje kukanusha hiyo 'ntiiti' maana ni bingwa wa kukanusha!

Badala ya kuajiri watu wenye uelewa na weledi katika timu za majadiliano ya kiuchumi lakini ninyi mnawajaza machawa wa kumsifia Malkia! Mijadala ya kiuchumi ni vita inayopiganwa na watu wenye fikra, siyo sehemu ya kuwapa ulaji machawa waliosaidia kupora uchaguzi wetu!

Kama hao washauri wenu wameshiriki 'mwili na damu' ya Yesu leo, watakuwa na ufahamu wa kujua hiki anachokiongea askofu hapa! Ila mimi naendelea kusoma komenti za kuniwishi Birthday baada ya watu 'Mbudya' kushindwa kunipulizia 'spray mwaka jana! Mimi sio Lema!
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 10 Mei 2026; Saa 6:50 mchana
 
'TIKITAKA' ZA DANGOTE AKIELEKEA KENYA!

Unamtambulisha msichana hadharani kuwa ni Bibi Arusi wako mtarajiwa kumbe hujafika hata kwa wazazi wake kujitambulisha! Sasa kaamua kuolewa na 'Mnyilemi Kindamba' wa Uchindile anadai wewe ni 'Kapufi Mwanansao' ambaye ni Mfipa wa Kirando hujui hata kuvua hao samaki!

Dangote naye anatangaza huko kuwa anafikiria kuwekeza kiwanda cha kusafisha mafuta huko Mombasa ambayo ina kina kirefu kuliko Tanga ambayo kina chake ni kifupi hakifai hata kupaki ngalawa au 'boti' za Mpiji!

Ninyi badala ya kujadili dili za nguvu na Kipruto, mkawa mnampenyezea Malkia Nzinga Mbande ili aanze kuwacharaza mijeledi akina 'ntukwe'!
Muiteni Muhehe wa Kiponzelo aje kukanusha hiyo 'ntiiti' maana ni bingwa wa kukanusha!

Badala ya kuajiri watu wenye uelewa na weledi katika timu za majadiliano ya kiuchumi lakini ninyi mnawajaza machawa wa kumsifia Malkia! Mijadala ya kiuchumi ni vita inayopiganwa na watu wenye fikra, siyo sehemu ya kuwapa ulaji machawa waliosaidia kupora uchaguzi wetu!

Kama hao washauri wenu wameshiriki 'mwili na damu' ya Yesu leo, watakuwa na ufahamu wa kujua hiki anachokiongea askofu hapa! Ila mimi naendelea kusoma komenti za kuniwishi Birthday baada ya watu 'Mbudya' kushindwa kunipulizia 'spray mwaka jana! Mimi sio Lema!
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 10 Mei 2026; Saa 6:50 mchana
uaskofu unadhalilishwa sana nyakati hizi, hauna thamani tena dah 🐒
 
uaskofu unadhalilishwa sana nyakati hizi, hauna thamani tena dah 🐒
Wakat nipo form 3 kuna Ile point ya role played by African church unadhan role Yao ilikuwa nn wakat wa kudai uhuru?

Viongoz wa din hasa akina mshume kiyate sheikh takadir na wengineo ndio walioanzisha chama vya siasa kama AA TAA TANU

Sasa nashangaa nyakat hiz mnasahau na manataka kuwatenga katika mapambana yakisiasa

Anyway nimekurudisha shule kidogo maana huko chama chakavu mnaish kwa kukariri TU
 
Kwa akili yako ya kisoda huwezi kumwelewa PhD holder.

"... ninyi badala ya kujadili dili za nguvu na Kipruto, mkawa mnampenyezea Malkia Nzinga Mbande ili aanze kuwacharaza mijeledi akina 'ntukwe'!"
kwamba huyo askofu kibaka ndio PhD holder?🤣

acheni udhalilishaji nonsense wa PhD bana, plz plz ndugu wafuata mkumbo
 
Wakat nipo form 3 kuna Ile point ya role played by African church unadhan role Yao ilikuwa nn wakat wa kudai uhuru?

Viongoz wa din hasa akina mshume kiyate sheikh takadir na wengineo ndio walioanzisha chama vya siasa kama AA TAA TANU

Sasa nashangaa nyakat hiz mnasahau na manataka kuwatenga katika mapambana yakisiasa

Anyway nimekurudisha shule kidogo maana huko chama chakavu mnaish kwa kukariri TU
yaani huyo askofu chokoraa ndio unawafananisha na hao mapioner wa tawala za kikoloni?

acheni kufananisha nonsense na vitu vya maana jamani wafuata mkumbo.

Mnadhalilisha dini za watu kuongozwa na vibaka🐒
 
Askofu feki Mwamakula yuko kwenye pay roll ya Maria Sarungi hivyo anapaswa kupuuzwa. CHADEMA mngekuwepo enzi za kina Carl Peters mngeingia mikataba mibovu kuliko hata ya Chifu Mangungo kwa sababu ya mihemko ya kifala.
 
Miradi ya maana yote inaenda kenya.Tuna awamu ya viongozi ambao vichwa vyao vimejaa matope na undugunizationi.Yaani bomba la mafuta lipite Tanzania asilimia tisini halafu kiwanda cha kuchakata mafuta kipelekwe kenya?Huyu mama antukosea sana watanganyika.DAWA YAKE NI KUKINUKISHA TU SIKU YA AFCON ILI KUMFUKUZA NCHINI KWETU AENDE KWAO UNGUJA AKALIME MCHICHA
 
yaani huyo askofu chokoraa ndio unawafananisha na hao mapioner wa tawala za kikoloni?

acheni kufananisha nonsense na vitu vya maana jamani wafuata mkumbo.

Mnadhalilisha dini za watu kuongozwa na vibaka
 
'TIKITAKA' ZA DANGOTE AKIELEKEA KENYA!

Unamtambulisha msichana hadharani kuwa ni Bibi Arusi wako mtarajiwa kumbe hujafika hata kwa wazazi wake kujitambulisha! Sasa kaamua kuolewa na 'Mnyilemi Kindamba' wa Uchindile anadai wewe ni 'Kapufi Mwanansao' ambaye ni Mfipa wa Kirando hujui hata kuvua hao samaki!

Dangote naye anatangaza huko kuwa anafikiria kuwekeza kiwanda cha kusafisha mafuta huko Mombasa ambayo ina kina kirefu kuliko Tanga ambayo kina chake ni kifupi hakifai hata kupaki ngalawa au 'boti' za Mpiji!

Ninyi badala ya kujadili dili za nguvu na Kipruto, mkawa mnampenyezea Malkia Nzinga Mbande ili aanze kuwacharaza mijeledi akina 'ntukwe'!
Muiteni Muhehe wa Kiponzelo aje kukanusha hiyo 'ntiiti' maana ni bingwa wa kukanusha!

Badala ya kuajiri watu wenye uelewa na weledi katika timu za majadiliano ya kiuchumi lakini ninyi mnawajaza machawa wa kumsifia Malkia! Mijadala ya kiuchumi ni vita inayopiganwa na watu wenye fikra, siyo sehemu ya kuwapa ulaji machawa waliosaidia kupora uchaguzi wetu!

Kama hao washauri wenu wameshiriki 'mwili na damu' ya Yesu leo, watakuwa na ufahamu wa kujua hiki anachokiongea askofu hapa! Ila mimi naendelea kusoma komenti za kuniwishi Birthday baada ya watu 'Mbudya' kushindwa kunipulizia 'spray mwaka jana! Mimi sio Lema!
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 10 Mei 2026; Saa 6:50 mchana
Mama yuko busy anaandaa 'cinema zetu' Magereza.🤪
 
Back
Top Bottom