Baba Askofu "Mwamakula" alivyokoswakoswa

Baba Askofu "Mwamakula" alivyokoswakoswa

😅😂😍🤣😃🤪🤪Mkuu Pole
Unatesekea Ukiwa Wapi
Omba Maji Unywe Upooze Koo
yaani kwasababu ya huyo eti mnamuita askofu wakati ni kibaka wa kidini ndio wa kutesa mtu kweli gentleman?🤣

acheni upotoshaji nonsense bana ndugu wafuata mkumbo 🐒
 
Wakat nipo form 3 kuna Ile point ya role played by African church unadhan role Yao ilikuwa nn wakat wa kudai uhuru?

Viongoz wa din hasa akina mshume kiyate sheikh takadir na wengineo ndio walioanzisha chama vya siasa kama AA TAA TANU

Sasa nashangaa nyakat hiz mnasahau na manataka kuwatenga katika mapambana yakisiasa

Anyway nimekurudisha shule kidogo maana huko chama chakavu mnaish kwa kukariri TU
Sio kumrudisha shule. Huyo zombie hajawahi kwenda shule. Labda madrasa!
 
Kirando mtaa wa mtakuja ,diwani Ally kessy, tajiri ni Morris kitumbo ,vedio show ni baba yake na Frank katabi .

Sema neno Sanuni kessy ila Joseph sikazwe sijui yu wapi ?
Afande kipozeo kamchukua Malina wetu awe wake wakati wa doria la usiku alafu katangaza kulala saa mbili asiwepo mtu mtaani .



Miss you ssna wanetu
 
kwamba huyo askofu kibaka ndio PhD holder?🤣

acheni udhalilishaji nonsense wa PhD bana, plz plz ndugu wafuata mkumbo
Ila Malkia wako Doctorate yake ndio ipo mahali sahihi kabisa, sio! kalaghabao.
 
huenda ni wafuata mkumbo,

nadhani unafahamu kwamba kwenye kundi la mamba kenge wachache hawakosekani

Ah gentleman no comments, now days wanakata vichwa kabisa, tuongee mambo goli la chama tu
 
Back
Top Bottom