Baba Askofu Dr. Bagonza: Mapenzi ya Mungu na Mapenzi yetu

Baba Askofu Dr. Bagonza: Mapenzi ya Mungu na Mapenzi yetu

Kwanza ungetoa hiyo PHD maana msomi yeyote anajua maana ya disaster !! Sasa hayo aliyoyasema yanauhusiano gani na hii ajali?
wewe huna PhD hiyo ni sababu tosha kwako kutoweza kumuelewa
 
Huyo anafanya siasa tu..kwa nini agusie miradi ya maendeleo ambayo chadema wanaipinga..?mbona mabasi yanapata ajali..boda boda na vingine..hata magari binafsi..mwanadamu huwa akikaa hafikirii mabaya..kwenye ndege kuna miamvuli ya kujiokoa lakini hata siku moja husikii ndege imepata ajali na kuna watu wawili walijiokoa kama ambavyo tunaagizwa kufanya tukiingia kwenye ndege ( hii ni kwa waliowahi kupanda)..inapotokea ajali watu hughafirika na unaweza usione hata hilo boya hususani kwa ajali ya mara moja na haraka...lakini ukiangalia hii ajali ilikuwa inaepukika..ni suala la uzembe na rushwa kwa wasimamizi wa kivuko..
Hauwezi kumuelewa kamwe... Amka toka usingizini kwanza... Kila kitu MNA waza siasa tu...??

Hamuwazi kitu zaidi ya siasaaaaa... Umasikin wa fikra na mzigo... Utumwa wa fikra ni tatizo kubwa...
 
Kwanza ungetoa hiyo PHD maana msomi yeyote anajua maana ya disaster !! Sasa hayo aliyoyasema yanauhusiano gani na hii ajali?
Huwezi elewa... Kwani imeongea PhD??? Tua huo mzigo ulio nao kwanza...
 
Tatizo mtu akiongea ukweli mnamuweka kwenye siasa. Mshazoea uongo, haya mjipongeze kwa kuharibu roho za watu kisa mtu asitoe tahadhari
 
Nina uhakika uelewi ata king kidogo kuhusu dini. Hakuna sehemu ata moja dini iliwahi kutengwa na siasa.

Soma story zote za mitume na manabii hawakuwahi kuficha nyuso zao kwa kuogopa watawala.
Hivi hajiulizi kwanini hao mitume au manabii waliwawa na watawala.
 
Dini ni siasa,matukio ni siasa,kwa kifupi maisha ni siasa,hasiyejiusisha na siasa ni.mpumbavu kiwango cha makalio ya Joyce wowowo
Ninaona wamesahamu kuwa very human being is apolitical animal, huwezi tenganisha dini na siasa.
 
Kwamba maendeleo yana majanga, Dr mzima unashauri turudie Ujima..! Badala ya umeme tutumie kupekecha vijiti ili kupata mwanga,moto nk, badala ya usafiri wa anga tutembee kwa mguu..hizi ni chuki tu,
 
Kwamba maendeleo yana majanga, Dr mzima unashauri turudie Ujima..! Badala ya umeme tutumie kupekecha vijiti ili kupata mwanga,moto nk, badala ya usafiri wa anga tutembee kwa mguu..hizi ni chuki tu,
Kweli, sasa nmeamini akili ndogo si rahisi kumuelewa bagonza.
 
Kwamba maendeleo yana majanga, Dr mzima unashauri turudie Ujima..! Badala ya umeme tutumie kupekecha vijiti ili kupata mwanga,moto nk, badala ya usafiri wa anga tutembee kwa mguu..hizi ni chuki tu,

Mmm!!?? Hivi kasema hivyo au unaspin kupata mileage? Mimi nimeelewa kwamba, hatua zote za maendeleo hupitia majanga, siyo kwamba turudi kwenye ujima ili tusipatwe na majanga. Na hoja yake ni disaster preparedness. Anashauri tunapofanya miradi ya maendeleo, pia tujipange kukabili majanga kwa weredi. Tundali Mungu anakuona ujue.
 
Kwamba maendeleo yana majanga, Dr mzima unashauri turudie Ujima..! Badala ya umeme tutumie kupekecha vijiti ili kupata mwanga,moto nk, badala ya usafiri wa anga tutembee kwa mguu..hizi ni chuki tu,
Hebu acha ubahili wa kutumia akili mkuu, alicho shauri Askofu hapo ni kuwa na taadhari kwa kila mradi wa maendeleo unaofanyika pia kuwe na utararibu wa kukabiliana na side effects zake ,think out of politics unaweza kupata point hapo. Epuka siasa za [emoji122][emoji122][emoji122] kila kitu.
 
Mmm!!?? Hivi kasema hivyo au unaspin kupata mileage? Mimi nimeelewa kwamba, hatua zote za maendeleo hupitia majanga, siyo kwamba turudi kwenye ujima ili tusipatwe na majanga. Na hoja yake ni disaster preparedness. Anashauri tunapofanya miradi ya maendeleo, pia tujipange kukabili majanga kwa weredi. Tundali Mungu anakuona ujue.
hivi tundali anahofu ya Mungu??
 
Kwamba maendeleo yana majanga, Dr mzima unashauri turudie Ujima..! Badala ya umeme tutumie kupekecha vijiti ili kupata mwanga,moto nk, badala ya usafiri wa anga tutembee kwa mguu..hizi ni chuki tu,
Rudi shule mkuu huwezi kuelewa mambo mazito kama haya ya Baba askofu(phd)
 
Huyo anafanya siasa tu..kwa nini agusie miradi ya maendeleo ambayo chadema wanaipinga..?mbona mabasi yanapata ajali..boda boda na vingine..hata magari binafsi..mwanadamu huwa akikaa hafikirii mabaya..kwenye ndege kuna miamvuli ya kujiokoa lakini hata siku moja husikii ndege imepata ajali na kuna watu wawili walijiokoa kama ambavyo tunaagizwa kufanya tukiingia kwenye ndege ( hii ni kwa waliowahi kupanda)..inapotokea ajali watu hughafirika na unaweza usione hata hilo boya hususani kwa ajali ya mara moja na haraka...lakini ukiangalia hii ajali ilikuwa inaepukika..ni suala la uzembe na rushwa kwa wasimamizi wa kivuko..
Kila anaepinga ni chadema
 
Anaandika Baba Askofu Dr.Benson Bagonza (PhD), daktari wa Falsafa na Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
_____________________________
MAPENZI YA MUNGU na MAPENZI YETU.

Siyo kila kifo ni mapenzi ya Mungu hata kama Mungu anajua kila kifo. Siyo kila ajali ni Mapenzi ya Mungu hata kama Mungu anaiijua kila ajali.

Tukumbuke alimuacha Mwana wake kuuawa hata kama alikuwa na uwezo wa kuzuia. Alimwacha Mwana wake kusalitiwa hata kama alikuwa na uwezo wa kumkomesha msaliti wake.

Hatua zote za maendeleo zina ukurasa wa majanga. *Dreamliner na Bombadier usiote janga lake. SGR janga lake ni kiama. Stiggler's Gorge ina janga la kuangamiza mamilioni kwa siku moja kingo za bwawa zikipasuka. Meli mpya ya abiria 2000 ni kaburi la halaiki linaloelea majini.*

Uwezo wetu upimwe kwa kushughulikia majanga, si kwa kuchochea majanga. Poleni wafiwa, Ugua pole majeruhi, Tufarijiane Watanzania.

#MyTake:
Falsafa ni somo gumu, halijawahi kueleweka kwa wote. Lakini pamoja na ugumu wake, tuzitafakari falsafa za baba Askofu Bagonza, na tujitahidi kuzielewa. Zina mengi ya msingi.![/QUT

Ni kweli kabisa kuwa Falsafa in somo gumu kueleweka.Nimeona mambo matatu aliyoyaeleza
Anaandika Baba Askofu Dr.Benson Bagonza (PhD), daktari wa Falsafa na Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
_____________________________
MAPENZI YA MUNGU na MAPENZI YETU.

Siyo kila kifo ni mapenzi ya Mungu hata kama Mungu anajua kila kifo. Siyo kila ajali ni Mapenzi ya Mungu hata kama Mungu anaiijua kila ajali.

Tukumbuke alimuacha Mwana wake kuuawa hata kama alikuwa na uwezo wa kuzuia. Alimwacha Mwana wake kusalitiwa hata kama alikuwa na uwezo wa kumkomesha msaliti wake.

Hatua zote za maendeleo zina ukurasa wa majanga. *Dreamliner na Bombadier usiote janga lake. SGR janga lake ni kiama. Stiggler's Gorge ina janga la kuangamiza mamilioni kwa siku moja kingo za bwawa zikipasuka. Meli mpya ya abiria 2000 ni kaburi la halaiki linaloelea majini.*

Uwezo wetu upimwe kwa kushughulikia majanga, si kwa kuchochea majanga. Poleni wafiwa, Ugua pole majeruhi, Tufarijiane Watanzania.

#MyTake:
Falsafa ni somo gumu, halijawahi kueleweka kwa wote. Lakini pamoja na ugumu wake, tuzitafakari falsafa za baba Askofu Bagonza, na tujitahidi kuzielewa. Zina mengi ya msingi.!

Nilichojifunza kutokana na andiko LA Baba Askofu Bagonza;
1.Zipo ajali zisizozuilika ambazo no mapenzi ya Mungu na Luna ambazo zinaweza kuzuilika,hizi in uzembe Wa binadamu( mapenzi yetu).
2. Maendeleo yoyote yanaweza kusababisha majanga.ametoa mifano ya vitu kama bomberdia,stiglas gorge na SG.
3.Ni muhimu kujipanga kukabiliana na athari za majanga pale yanapojitokeza.Endapo kungekuwa na timu imara ya uokoaji na vifaa vya kisasa,tusingepoteza idadi kubwa hivi ya watu.
Kama nchi tutasifiwa zaidi Kwa kuokoa watu wengi kwenye ajali kuliko kutoa misaada ya mazishi na rambirambi nyingi.
Kiujumla sijaona siasa kwenye hili bandiko.
 
Sadaka na dhaka zimepungua makanisani..ile minada ya mashindano hakuna tena..wanajaribu jaribu kwenye siasa huku.maana wanaamini huku bado kuna vijisenti senti
Pole sana kwa kukosa elimu bora au kwa kuwa na akili mbovu. Hakuna kitu "dhaka",kuna ZAKA.
Pole sana kwa ilm ahera uliyonayo.
 
Back
Top Bottom