Baba Askofu Dr. Bagonza: Mapenzi ya Mungu na Mapenzi yetu

Baba Askofu Dr. Bagonza: Mapenzi ya Mungu na Mapenzi yetu

Huyo anafanya siasa tu..kwa nini agusie miradi ya maendeleo ambayo chadema wanaipinga..?mbona mabasi yanapata ajali..boda boda na vingine..hata magari binafsi..mwanadamu huwa akikaa hafikirii mabaya..kwenye ndege kuna miamvuli ya kujiokoa lakini hata siku moja husikii ndege imepata ajali na kuna watu wawili walijiokoa kama ambavyo tunaagizwa kufanya tukiingia kwenye ndege ( hii ni kwa waliowahi kupanda)..inapotokea ajali watu hughafirika na unaweza usione hata hilo boya hususani kwa ajali ya mara moja na haraka...lakini ukiangalia hii ajali ilikuwa inaepukika..ni suala la uzembe na rushwa kwa wasimamizi wa kivuko..
Aliekudanganya kuwa kwenye ndege kunamiamvuli ya kujiokoa kakuweza kwelikweli. Panda ndege hata sikumoja uone kama kunakitu kama hicho. Kitu ambacho kipo ni life jacket kama za kwenye meli hakuna parachute ndugu yangu.
 
Hawa miungu watu wa Afrika lazima wakemewe tuu, na manabii na mitume wa Mungu.

Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe akimwambia Herode.

Luka 13:32
Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika.
I appreciate your quotation but Sidhani kama Yesu alitumia muda wake mwingi kuongelea siasa.Hawa baadhi ya maaskofu kila wakiongea hawana ajenda tofauti na wanasiasa.
 
Whom to argue with????Your mental falcuty is quite detrimental with political manoeuvres!!
Anyway,you might be a wrong identity to argue with.Sorry.You seem to be stressed with some other issues.Relax sister
 
Askofu ambaye kila akipanua kinywa anaongea siasa hatufai.Ajiunge tu na vyama vya siasa ili atambulike na sisi tumjadili kisiasa
Sadaka na dhaka zimepungua makanisani..ile minada ya mashindano hakuna tena..wanajaribu jaribu kwenye siasa huku.maana wanaamini huku bado kuna vijisenti senti
 
Aliekudanganya kuwa kwenye ndege kunamiamvuli ya kujiokoa kakuweza kwelikweli. Panda ndege hata sikumoja uone kama kunakitu kama hicho. Kitu ambacho kipo ni life jacket kama za kwenye meli hakuna parachute ndugu yangu.
Hizo ni local flights..sasa hiyo life jacket imeshawahi kutumika??
 
Mwanasiasa aliyejificha kwenye dini.Afanye moja aeleweke.
Kha! Mbona na hao viongozi wa Serikali wanakwenda Makanisani na Misikitini, halafu wanataka waombewe? Na wao wafanye moja waeleweke.
 
Back
Top Bottom