mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,915
Ndiyo maana nimesema kama alimterekeza ni sawa ila kama hakumterekeza si sawa.Maisha yao kwa ujumla hatuyajui, wala hatujui uyo Ommy kalelewaje
Ila kubali kataa Watanzania wengi kwenye kulea wazazi tunamjali sana mama, baba cyo kiivyo
Kumjali mama haimaanishi umuache baba aishi maisha ya ajabu wakati wewe ukisafiri na kula bata ukijisifia umelipa maelfu ya dollar kuingia mighahawa na sehemu za starehe.
Unaweza kumjali mama kwa kumpa zaidi kuliko baba lakini siyo kumuacha kabisa baba kama alikulea aishi maisha hayo wakati uwezo unao.