Baba ake Ommy Dimpoz alalamika kutengwa na mwanae

Mzee anataka kurukia mafanikio
Kama alitekeleza mama na mtoto apambane tu na hali yake
 
Hapana ndugu, watoto tunapaswa kuwategemeza wazazi wanapokuwa wameanza kuishiwa uwezo wa kufanya kazi. Huu ni utamaduni na desturi yetu nzuri na yenye kufaa Watanzania tulirithishwa na mababu zetu vizazi na vizazi. Hata mwenyezi Mungu anatufundisha na kutuhimiza juu ya hili. Ni wajibu mkumbusheni kijana huyu. Kuiga umagharibi kutampeleka ktk mwisho mbaya.
 
Hivi hawa michelemichele wa daslam mbona wanapenda kutelekeza madingi zao?
 
Hiyo c

Hiyo chain siielewi, wewe mtoto umboreshee mzazi, na yeye mzazi amboreshee nani, si mzazi wake na yeye au?, je amemboreshea mzazi wake au anadai tu yeye ilhali yeye hajamboreshea mzazi wake?
Yeye kakuzaa wewe. Bila yeye wewe usingekuwa hapo. Sasa kweli mzee anapata shida kijijini we bila mshipa wa aibu unakula bata mjini na nchi za watu. Hata mshipa wa aibu huna kweli? Sisi ndio wakufanya hayo. Yeye na yeye alimboreshea mzazi wake
 
Yeye kakuzaa wewe. Bila yeye wewe usingekuwa hapo. Sasa kweli mzee anapata shida kijijini we bila mshipa wa aibu unakula bata mjini na nchi za watu. Hata mshipa wa aibu huna kweli? Sisi ndio wakufanya hayo. Yeye na yeye alimboreshea mzazi wake
Kwa hiyo shida ni mimi kula bata mjini na nchi za watu?
 
Back
Top Bottom