Kwa hili la Ommy Dimpoz na Babake wee uliye biological mother/father ukimkataa/kumtelekeza mtoto wako ujue umemuumiza sana kisaikolojia na makuzi yake

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,760
35,205
Mwenyewe Ommy anmeweka wazi kwamba anamheshimu baba yake lakini hana ukaribu nae



Ila wanaume buana, yaani alijua kabisa amezaa, kwa hiari yake akamtelekeza mtoto, ila sasa kafanikiwa anamuombea asaidie wengine👀👀👀👀

Sijui kama Ommy angekua maskini, teja, mgonjwa asiyejiweza, au mlemavu huyu baba angesogea hata kukusaidia

Ila ndio hivyo anabaki kuwa baba mzazi na abaheshimiwa kwa hilo... ila kudai anunuliwe kirikuu ni matumizi mabaya ya alichokipanda🏃‍♀️🏃‍♀️



Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza uzidi kumheshimu huyu mzee Ommy Dimpoz, japo imani inasema wewe haramu ila hukuzaliwa bila Mungu kupanga


Kutoka 20:12​

“Waheshimu baba yako na mama yako, ili uishi maisha marefu katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.​

 
Kuna tofauti ya Baba na sperm donor. Huyu ni sperm donor.

Wakati Ommy anaumwa alimsaidia? Ommy angekuwa maskini hiki kizee kisingetokea na kama ana watoto wengine aliowalea basi aende kwa hao watoto wengine wamsadie.

Heshima anayopewa hicho kizee ni heshima ya kiutu tu ila hana ubaba wowote machoni mwa Ommy.
 
Mwenyewe Ommy anmeweka wazi kwamba anamheshimu baba yake lakini hana ukaribu nae



Ila wanaume buana, yaani alijua kabisa amezaa, kwa hiari yake akamtelekeza mtoto, ila sasa kafanikiwa anamuombea asaidie wengine

Sijui kama ommy angekua maskini, teja, mgonjwa asiyejiweza, au mlemavu huyu baba angesogea hata kukusaidia

Ila ndio hivyo anabaki kuwa baba mzazi na abaheshimiwa kwa hilo... ila kudai anunuliwe kirikuu ni matumizi mabaya ya alichokipanda



Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza uzidi kumheshimu huyu mzee Ommy Dimpoz, japo imani inasema wewe haramu ila hukuzaliwa bila Mungu kupanga


Kutoka 20:12​

“Waheshimu baba yako na mama yako, ili uishi maisha marefu katika nchi ninayokupa mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wako.​

Vijana tupo tayari kumsamehe mpenzi bila tatizo lolote lakini mzazi wako eti!! Haumsamehi ilo ni tatizo
 
Msamaha ni tofauti na upendo..utamsamehe mtu lkn huwezi kulazimisha kumpenda

Upendo wa mtoto unajengwa na wazazi. Sasa kama wewe hukumfundisha mwanao upendo halafu unataka kupendwa utasubiri sana

Tunawaona watoto ambao wanafanikiwa na kuwasaidia wazazi wao na kuelezea vile wazazi walivyowapenda na kuwalae hata katika hali za umaskini wao

Huyu mzee faraj ni Kati wa wababajina, na wanaume katili
 
Back
Top Bottom