Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
akitoa tu, kama nipumba ajue ndiyo mwisho wake kukaa ikulu..na watanzania hawataki blah blah kwenye swala hili bila kujali dini, chama, elimu, umri...Hivi Rais hataki kutoa tamko kuhusu Dowans kwa nn?